Recent content by MrNyongeza

  1. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    CASE CLOSE Napenda kuwajulisha kuwa niliyekuwa namuhitaji amepatikana. Ni ....27 Ndie mwanamke pekee aliyekuwa interested na akanitumia mwaliko na kwa maongezi niliyofanyanaye tokea Jana mwanga nauona.. Hivyo basi napenda kutoa shukrani za pekee kwa wale Wote waliochangia kwa namna yoyote ili...
  2. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Ha ha ha [emoji1787][emoji1787] inaonekana concern yako ni urefu. Hivyo vipimo ni makadirio tu..
  3. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    [emoji2][emoji2][emoji2] [emoji2] mbavu zangu... Ndio kiswahili Cha basata hicho.
  4. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Inategemea na negotion power yako na ni private matters..
  5. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Espy: Usiogope, waafrica hatujazoea kubembelezwa ndio maana unapata tashwish unapoona hivyo
  6. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Karibu...
  7. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Sio wa type hiyo kiongozi! Zipo Raha ninazoenyoy zaidi ya hizo... Akipatikana mmoja tu naondoa bandiko langu...
  8. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Morphology ni kitu muhimu sana kwangu hivyo usishagae
  9. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Kidogo Cha kufutia simu Nafanya sana mazoezi
  10. M

    Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

    Amani na iwe nanyi! Nahitaji mwanamke wa kuzaa nae Wasifu wangu 1. Umri : Mtu mzima (Matured)40+ Years 2. Urefu: 5.6 Futi 3. Uzito: 80 Kg. 4. Rangi: Maji ya kunde 5. Kazi: Mjasiriamali 6. Elimu Degreee 7. Polite in nature 8. Hobbies Napendelea Kusoma vitabu (Addicted to reading books) 9. I am...
Back
Top Bottom