Recent content by MrMzalendo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Lissu ambaye anahubiri kwamba mambo ya umma yawe wazi, alikataa kukutana na Abdul hotelini penye watu wengi akachagua nyumbani kwake sirini?

    Ndugu yangu@chiembe, kwa maneno yako haya, una maanisha watu tusiokuwa na hulka ya matusi tusiwemo humu JF, haipendezi platform kama hizi kuwa dictator wa mawazo. Unaweza kutetea hoja zako ama uka counter hoja kinzani bila matusi. Inawezekana ndugu yangu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Lissu ambaye anahubiri kwamba mambo ya umma yawe wazi, alikataa kukutana na Abdul hotelini penye watu wengi akachagua nyumbani kwake sirini?

    kwani pesa unyaolipwa mshahara si ya umma, je unalipwa pale Kariakoo mbele ya umma?.
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

    Hivi ni vituo vya kupigia kura kama shule ya msingi sagana ambavyo viko 49000 kama sikosei wakenya mtanikosoa mm ni MTZ nilikuwa namuelewesha mwana JF mwenzangu
  4. M

    JamiiForums Tanzania TEUZI: Rais Samia amteua Jaji Mustapha Siyani kuwa Jaji Kiongozi, Sophia Mjema kuwa RC Shinyanga

    Comments kama hizi za kidini hazipaswi kutolewa na mtu yeyote anae elewa mambo. Ni chembe chembe za kurutubisha bomu la religious conflicts. Tutafute historia ya mataifa yaliyopitia hii adhia watuambie na tujifunze. Uteuzi wa Mh Raisi unazingatia uweledi na sifa za mteuliwa bila ya dini yake...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tulimkosoa Hayati Magufuli na sasa tutamkosoa Rais Samia. Kama mtaumia poleni sana Tanzania Kwanza

    Katika dhana ya kukosoa, kuna mawili! mosi, unaweza ukamkosoa mtu kwa kutumia mtu mwingine kama reference yako. Mfano yawezekana wewe ulikowa ni mfuasi wa Raisi aliyepita. Ukaona Raisi SSH anaenda kinyume na sera za aliye pita apo utakosoa. Hakuna tatizo ila lazima ujiandae kupingwa na kundi...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa kumsaidia Rais Samia katika kuirudisha Tanzania katika Misingi ya Haki

    Ni ukweli ulio wazi ya kua Nchi yetu pendwa Tanzania ilikuwa inadidimia kwa kasi katika ktk suala la haki za raia wake. Mathalani ilikuwa imekua vigumu kwa watu kupaza sauti zao hata katika mambo yaliyo wazi kabisa kama wananchi kunyanyaswa, wafanya biashara kuonewa, wafanyanyakazi kutoongezewa...
Back
Top Bottom