Recent content by Mrisho Nkinga BadNews

  1. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    Unamapendekezo gani hususan kwa viongoz wetu afrika ambayo huenda yakatukomboa na kututoa kwene giza
  2. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    Unamaanisha hali zetu ni tete kias tuko tayar kwa lolote yaan according to nilivokuelewa hapo juu ???
  3. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    Uwiano unaendana??? Kinachokuja na kinachoenda ???
  4. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    Nkinga ni jina LA babaangu, Jina LA my kid also hahahaaaa
  5. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    Nani ambae ni controller wa WB afu tuje tuangalie kwan inaelezwa ni ukolon wa rasrimali za Africa,
  6. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    But kuna mataifa kama china , marekani n.k nayo yana miradi mikubwa tu baran afrika, kwann isiwe wb pekee na siyo mataifa , ist true that ni ukolon mamboleo n Africa ?
  7. Mrisho Nkinga BadNews

    Pauline Gekul, Mbunge wa Babati Mjini(CHADEMA) ajiuzulu na kujivua uanachama, ajiunga na CCM

    Naomba umri kidogo ili nizidi kuzishuhudia siasa za dot com zinakoelekea maana ni mor than scene in the movie 🎬,
  8. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    Lets back one time, Imetunufaisha na nn ukicompare na athari especially in our cont-africa ?
  9. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    Ofcoz wachambuzi wengi na wafuatiliaji wa masuala ya kimataifa wanatafsiri kuwa uwepo wa WB ni njia ya ukoloni wa rasirimali za afrika, BT nisiwe msemaji wa wengi, je afrika tunaikwepa vipi hii colonialism systerm,
  10. Mrisho Nkinga BadNews

    Watu wasiojulikana: Kwanini Target yao kubwa ni kwa wakosoaji wa Serikali?

    Jeshi LA polisi nchini tanzania chini ya wizara ya mambo ya ndani ambayo nayo inaendeshwa na ninja KANGI LUGOLA wanalichukuliaje ama wanalitafsiri vipi neno WASIOJULIKANA ambalo linatumika kwa watu wanaoliwekea lawama jeshi kwaujumla, wasiojulikana naona hawawezi kuisha kama wasipojulikana na...
  11. Mrisho Nkinga BadNews

    Bank ya dunia(WB) ina mchango gani Afrika tangu kuanzishwa kwake mpaka leo hii

    Luna mataifa kama mareka , china na mengine yamekuwa yakija afrika kuwekeza na mpaka sasa kuna miradi kadha wa kadha chini ya mataifa ambayo nisingependa kuyataja, Je kwann haya mataifa na siyo WB, je masharit ya WB ni magumu ama Masharti ya Mataifa kama uchina na marekani ni rahis sana...
Back
Top Bottom