Recent content by Mrisho Msabaha

  1. Mrisho Msabaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

    Sasa timu yenyewe bado. Ndio maana kawashauri watoke nje wapate exposure. Hawezi kucheza peke yake timu nzima. Hivi unadhani tukimleta Christano Ronaldo, Messi au Mbape ata perform bongo kama anavyo perform huko kwao? Dah, naona wewe una beef naye tu. Huwezi kumhukumu kwenye timu hii. Ame prove...
  2. Mrisho Msabaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

    Magoli tuliyowafunga Kenya ni nguvu alitumia Samatta.
  3. Mrisho Msabaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

    Hii misimu miwili consecutive, sasa kama unajua hilo unawezaje kumhukumu Samatta kwa mechi tatu na timu yenyewe bado haijaandaliwa ikawa Bora? Lakini kama unaangalia mpira kwa usahihi tusingebishana, either huangalii au unaangalia ukiwa na biasenes. Samatta anajiamini, ana nguvu na anajiposition...
  4. Mrisho Msabaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

    Kweli kabisa, yaani Genk wanaimba Samagoal halafu wasikie kuna mbongo anasema hamna kitu hapo, si aibu.
  5. Mrisho Msabaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

    Biashara ni branding. Hao unaona wazuri matangazo mengi yanasaidia. Sammata angekuwa mkenya angeonekana mfalme, lakini wabongo tunavutana mashati. Yaani Belgium wanaimba Samagoal halafu kuna mbongo anasema hakuna kitu.
  6. Mrisho Msabaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

    Mfano Lukaku.
  7. Mrisho Msabaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

    Samatta yupo vizuri Sana. Sasa hawezi kukaba yeye, atoe pasi yeye afunge yeye. Tumefunga magoli mawili tu na yote yana juhudi za Samatta. Alipiga shuti likamshinda kipa ndio Msuva akafunga, lingine ni yeye katikati ya mabeki watatu na kipa wao juu akafunga. Tusifananishe kiwango hicho na watu...
  8. Mrisho Msabaha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unafiki wa majirani zetu watanzania

    Kwani wakenya wangapi wako Tanzania hakuna kiongozi aliyewaambia wananchi wawapige. Kumpiga mtu ni jambo baya. Hakuna mtanzania alisema tuwapige wakenya wanachukua ajira au biashahara zetu
Back
Top Bottom