Mimi nimemaliza masomo ugavi ngazi ya cheti katika chuo kimoja hapa nchini hivi karibuni..na miezi ya hivi karibuni blog moja ilitoa tetesi ya kufutiwa udahili chuo hicho lakini ikatokea kukanushwa na utawala wa vyuo hivo...sasa kulingana na hali ilivo nahisi kabisa hicho chuo hakijasajiliwa...
Jamani me naomba msaada hivi chuo kinadahili kwa mtindo tofauti na nacte? maana kuna dada yangu naye aliapply chuo cha AJUCO songea,Diploma ameambiwa apeleke maombi pale pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.