Hongera katambi ni haki yako kuhama chama simamia kile unachoamini usisikize maneno ya watu ..wakitoka CCM na kwenda CDM wanawaita mashujaa hata kama awali waliwaita mafisadi ... na wakitoka kwao kuja CCM ni waoga ...haaaa kelele za churaaaaa.............................
Jisamehe mwenyewe kwa kujikana watu kama wewe hata ungepewa ngozi nyeusi kichwani ungeendelea kuwa sifuri tu eti unajilaani udwanzi mtupu ' najivunia kuwa mwafrika ninayejitambua'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.