Recent content by Mragha

  1. Mragha

    Wizara ya Madini tufungulieni cadestre map tuweze kuweka maombi yetu

    Nilikuwa Morogoro haikubali nimeenda Dodoma kwa Rmo nikaulizia nikaambiwa hata wao hawajui huenda kuna tatizo la kiufundi
  2. Mragha

    Wizara ya Madini tufungulieni cadestre map tuweze kuweka maombi yetu

    Ni miezi zaidi ya 6 sasa Portal madini.com haifunguki ambapo inasababisha tushindwe kuingia na kuweka maombi ya leseni na hakuna maelezo kutoka wizara ya madini wala tume ya madini kueleza kuna shida gani?Ila kuna tetesi mitaani serikali imeshindwa kuwalipa south Africa ambao ndio wamiliki wa...
  3. Mragha

    Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

    Tafsiri JW22 One of the vehicles seized by the fighters of the Islamic State after the ambush near the village of "Vondanhar" - Mozambique - Cabo Delgado - Amaq News Agency: A joint patrol of the Mozambican and Tanzanian armies suffered material losses in an attack by Islamic State militants...
  4. Mragha

    Polisi wa Arusha wampuuza Rais Samia, wakamata wateja baa na kuwapiga

    Polisi wa Arusha jana Tarehe 14/12/2021 wamepita kwenye mabar na land cruiser nyeupe wanakamata wateja na wenye bar na kuwapiga na kuwadai sh 15,000 kwa kila mtu kwa madai wametumwa na wakubwa wao. Kukamata watu waliopo kwenye mabar zaidi ya saa 5. Kukamata sawa ila kupiga na kudai hela Mama...
  5. Mragha

    Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

    Police wezi sanaa na ukiwashitaki hupewi haki.
  6. Mragha

    Kampuni ya Mzinga ondoeni walanguzi

    Kuna mtu kanieleza zikibaki chache huwa wanaficha wanalangua mabosi wakiuliza wanaambiwa biashara mbaya kumbe wanaficha wauzi bei juu
  7. Mragha

    Kampuni ya Mzinga ondoeni walanguzi

    Wacha wapige dili na wao watakula wapi?Mradi wamalize kwa muda waliopangiwa kuuza ila kama wanakunyima na vigezo unavyo ndio mbaya.
Back
Top Bottom