Mragha
Member
- Aug 12, 2021
- 9
- 6
Polisi wa Arusha jana Tarehe 14/12/2021 wamepita kwenye mabar na land cruiser nyeupe wanakamata wateja na wenye bar na kuwapiga na kuwadai sh 15,000 kwa kila mtu kwa madai wametumwa na wakubwa wao.
Kukamata watu waliopo kwenye mabar zaidi ya saa 5.
Kukamata sawa ila kupiga na kudai hela Mama Samia ameonya juzi akiwapa vyeo mabosi wao. Isitoshe kuna mamlaka inayohusika na wafanyabiashara wanao chelewa kufunga Afisa biashara kwanini wanapokamata wasiwapeleke huko wapingwe faini ambayo ni sh 50,000.
Kukamata watu waliopo kwenye mabar zaidi ya saa 5.
Kukamata sawa ila kupiga na kudai hela Mama Samia ameonya juzi akiwapa vyeo mabosi wao. Isitoshe kuna mamlaka inayohusika na wafanyabiashara wanao chelewa kufunga Afisa biashara kwanini wanapokamata wasiwapeleke huko wapingwe faini ambayo ni sh 50,000.