Kuna mmoja kasema chuo kiliwapa vyeti baada ya kuwatahini kwa hiyo hakuna haja ya usaili, anataka kusema kada zingine vyuo vyao hawana mitihani? Haviaminiwi mbona wanafanyishwa usaili?
Ni dynamics ndo maana zamani wanawake walikuwa hawamiliki mali, hawana maamuzi kwenye ndoa, wanapigwa, hawapewi uongozi ila sasa vyote hivyo vimebadilika. Hivyo hata la mahari watu wanaweza badilisha mtazamo
Maisha ya zamani yalikuwa tofauti sana na sasa. Zamani ukioa una mmiliki mwanamke, una mcontrol kulingana na matakwa yako, baadhi ya mila ziliruhusu kuadhibu inapobidi kwa kuw umelipa mahari. Anakufanyia kazi zako na kukuhudumia utakavyo. Sahivi hzo mila za kuwa juu mnaita mfumo dume na mnasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.