Mleta mada umechemka sana,hivi ninani asiyejua juhudi za Mbowe ktk jimbo la HAI ,mpaka Kikwete na Magufuli (akiwa waziri) walipotembelea HAI walikubali utendaji wa MBOWE na kula alizopata ktk uchaguzi uliopita pia ni ushahidi wa kutosha kuonyesha juhudi zake za kuleta maendeleo ktk jimbo...
Gari aina ya Mecedez benz C180 yenye namba D inauzwa bei 19 million
DETAILS
Make: Mercedes Benzi
Model : C180
Engine size : 1796 CC
Transmission : Automatic
Year of Manufacture : 2004
Colour : Silver
Registration Number : DAV................
Other quality : Leather seats
4 cylinder valves...
Huu ni upuuzi tuu wa wapuuzi wachache wanaotaka kuwafanya watanzania wote ni wapuuzi kwa kuwaaminisha upuuzi ulioratibiwa na wapuuzi wachache katika wakati huu wa uchaguzi kama mwaka ule wa uchaguzi 2005 tulipoona sinema ya IGP Mahita akitujulisha kwamba wamekamata sime na majambia...
Wananchi wote na wapenda demokrasia wote wamkoa ya Mtwara pamoja na wilaya zakezote wanaalikwa kuhuduria mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Mashujaakatika manispaa ya Mtwara , leo Jumapili tarehe 26.04.2015 kuanzia saa nane (8.00) mchana mpaka saa kumi na mbili jioni(12.00)
Mkutano...
Napenda kuwapongeza viongozi wa CDM Mtwara Mjini kwakufanikisha mikutano mikubwa ya hadhara katika viunga vya Manispaa ya Mtwara, 15.03.2015 mkutano mkubwa sana ulifanyika katika viwanja vya Sinani kama inavyoonekana katika picha.
Mkutano huu uliwavutia sana wana-Mtwara waliojitokeza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.