Recent content by MR SALMIN

  1. MR SALMIN

    Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

    Na huu mfumo wa N-Card kuwa wa lazima tangu tar 01/03/2022 kwakweli si rafiki kwa wale wanaotumia kivuko mara moja moja.
  2. MR SALMIN

    Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

    ndio maana wakaweka kule nyerere brig kutokana na bandari ili meli kubwa zipite bila shida....
  3. MR SALMIN

    Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

    yah! I hope tulikuwa wote siku ya ijumaa tar 04/03 jioni hivi na palikuwa na gari chache sana... ila watu wanasubiri mda mrefu inapelekea kujaa sanaaa...
  4. MR SALMIN

    Clouds media na utapeli wa mchongo wa clouds kupitia kipindi cha 360

    Huo sio utapeli, ila ni kamari(bahati nasibu) kuna kuliwa na kula. Ndio maana dini nyingi zimekemea vikali Mfano. Qur-an 5:90 Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa...
  5. MR SALMIN

    Madhara na faida za kujisajili mtandaoni

    Je, ulishawahi kutapeliwa na kampuni iliyosajiliwa!? Taasisi nyingi za kiserikali na binafsi kwa sasa husajili vitu vingi online ili kurahisisha na kuongeza ufanisi. Mfano TRA na BRELA. TRA huweza kusajili TIN no. Bure mtandaoni na BRELA ukasajili kampuni mtandaoni. Hiii imesaidia vitu vingi...
  6. MR SALMIN

    Nina milioni 5 nataka wazo lolote la biashara tushirikiane

    Biashara si kitu cha kutoa tu wazo likaendana na wewe, kwanza inabidi utoe na taarifa zako nyingine ili usaidiwe zaidi... Mfano unapoishi, kama unamiliki eneo unachopenda na unachokiweza n.k kwasababu naweza nikakwambia fuga samaki ila ulipo au wewe mwenyewe hupendi hiko kitu....
  7. MR SALMIN

    Ukweli kuhusu kampuni ya upimaji na uuzaji wa viwanja ya Cdqlink investment company

    NIMEULIZWA NIMEPEWA HAYA MAJIBU.... ni bora tungepata watu walio kwisha nunua na sio nadharia.... Embu tupate mrejesho kwa walionunua na hii kampuni.....
Back
Top Bottom