Recent content by mr.saggas

  1. M

    LOWASSA agoma kujibu swali la RICHMOND mkoani Dodoma

    Ni udhaifu uliopitiliza,anaagizwa mambo yenye madhara kwa taifa nae anakubali tuu.Je akiwa raisi akiamrishwa na waliomuweka si atauza nchi? Kwani hana uamuzi bali ansubiri aelekezwe kila kitu kama roboti
  2. M

    Mkutano wa uzinduzi wa kampeni UKAWA Segerea wakosa watu...Duni, Mtatiro wapigwa butwaa!

    huwa watu wanajaa akiwepo EL kumshangaa anaomba kwenda ikulu au wodini. Ni maneno ya mwigulu
  3. M

    Mgombea mwenza kumwangusha Magufuli

    havutii kwakua si mlutheri
Back
Top Bottom