wakati mwingine tuliozaliwa mazingira ..unakuta hakuna gari..kichwani tunawazaga kumiliki gari ni likitu likuubwa..mimi kwa kweli najilaumu nimeanza kumiliki gari nina miaka 43, yaani nilichelewa kufanya maamuzi
si ajabu, kwa mtu mwenye ajira ya uhakika ..ata akianza na gari si mbaya, kama nyumba atajenga tu...tofautisheni mambo..individualize your case watu hatufanani
sasa assume mtu ana kipato cha laki nne cha uhakika let say ni mwajiriwa wa serikali...akinunua gari ya m6-10 itamshindaje kumdu? gari huwa inasimplfy mambo mengi...achaneni na mawazo ya gari ni luxury ..gari ni usafiri tena ni muhimu kwa maisha ya sasa..labda kama unaishi bush
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.