Habari za leo wakuu.
Lengo la kuandika uzi huu ni kuomba nafasi ya kazi.
Nina uzoefu wa kazi katika Microfinances kama loan officer, Data clerk, pia katika NGO's kama social worker.
Pia nina uwezo wa kufanya kazi hata kwenye field nyingine.
Naomba mnisaidie connection katika kampuni au NGO's...
Sasa mkuu, kucheza single bet yani kila timu hapo ucheze peke yake si inahitaji pesa kubwa ili uone faida, mtu unakuta anaunganisha izo zote kwenye mkeka mmoja kwa sababu anaweka buku au buku mbili
Profile
Sex : Male
Education level : Degree
Degree program : Agricultural economics and Agribusiness
Experience : 2 years as Loan officer in Microfinance companies, Data clerk.
Location : Dar es Salaam & Kibaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.