Jamani habari za saa hizi wanaJF.
Ningependa kuuliza hivi tatizo la kujisaidida damu hua linasababishwa na kula vitu vigumu au kuharibika kwa utumbo kutokana labda na kuliwa na vijidudu? Au kuna sababu gani zaidi na huwa inatibika kwa njia gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.