Recent content by Mr Mwanzo

  1. Mr Mwanzo

    SoC04 Tanzania tuitakayo itatimia na mfumo bora wa elimu

    Thanks for your nice compliment
  2. Mr Mwanzo

    SoC04 Tanzania tuitakayo itatimia na mfumo bora wa elimu

    Ahsante, Tushikamane katika kuijenga Tanzania
  3. Mr Mwanzo

    SoC04 Tanzania tuitakayo itatimia na mfumo bora wa elimu

    Kama nchi tunapaswa kuandaa misingi ya elimu kwa vitendo. Hili linahitaji mabadiliko makubwa na maboresho ya mfumo mzima wa ELIMU, Kuna umuhimu wa kumuandaa mwanafunzi kubobea taaluma mahusisi kutoka hatua za awali kabisa. Ndio maana wanafunzi wengi Hadi wanafika kidato Cha nne na sita hawajui...
  4. Mr Mwanzo

    SoC04 Tanzania tuitakayo itatimia na mfumo bora wa elimu

    ELIMU: MSINGI, KING'AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE. Chanzo: Google Help Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala kuelekeza nguvu kubwa katika kunadi sera za elimu pekee, bali tunahitaji kufanya mchanganuo na...
Back
Top Bottom