Kuna baadhi ya walimu kati shule kadhaa hawataki kabisa kusikia wanafunzi wao wanaenda kusoma tuisheni kipindi Cha likizo wakidai kwamba zinapoteza na kuvuruga uelewa wa kile alichowafundisha (Hawa hawaamini katika tuisheni za mtaani)
Pia Kuna walimu ambao wanawapa wanafunzi wao maelekezo ya...
Kuna baadhi ya walimu kati shule kadhaa hawataki kabisa kusikia wanafunzi wao wanaenda kusoma tuisheni kipindi Cha likizo wakidai kwamba zinapoteza na kuvuruga uelewa wa kile alichowafundisha (Hawa hawaamini katika tuisheni za mtaani).
Pia Kuna walimu ambao wanawapa wanafunzi wao maelekezo ya...
Hapo kwenye suala wazazi kuzungumza na watoto wao ... Kuna wazazi hawazungumzi kabisa na watoto wao kuhusu maendeleo Yao kielimu wanachojali wao ni kufanya mambo ya kuwafurahisha watoto wao tu hata kama mtoto hayupo motivated kusoma yeye hawezi kuzungumza nae ili awe motivated anachojali ni...
swala la kuwafundisha ni la mwalimu lakini mzazi anapaswa kutengeneza mazingina rafiki ya mtoto kujifunza
naomba kunukuu
Ni muhimu kufahamu kuwa matokeo ya mtihani yanategemea mambo mengi, ikiwa ni pamoja na juhudi za mwanafunzi, mazingira ya kujifunzia, na mbinu za kufundishia. Hata hivyo...
usemacho kitakuwa kweli pale tu ambapo zaidi ya robo tatu ya darasa wamefeli lakini ikiwa ikiwa ni mwanao pekee ndo kafeli hapo kosa ni eidha la kwako mzazi au mwanao
walimu kama hao kweli wapo lakini lakini kiwa hivyo tunategemea zaidi ya robo tatu ya darasa wafeli lakini wengi wamefauru na wachache wamefelin bado huyu mwalimu hajatimiza wajibu wake?
asante sana kwa maelezo mazuri sana hskika mzazi akitimiza majukumu yake hayo pamoja na mengine , mwalimu akafanya wajibu wake kikamilifu pamoja na mtoto kutia juhudi binafsi lazima mtot afauru tu
naweza kukubaliana na wewe katika swala na asilimia hizo kwa maana sina takwimu kamili lkn naomba kuliza je jukumu la mzazi ili mtoto afauru ni kulipa ada na mahitaji ya shule pekee?
kweli kabisa kama ulivyosema twende kiuhalisia na kiuharisia kwa hali ilivyo hivi sasa si kwelikwamba ni asilimia 50 tu ndo zenye migogoro siku hizi migogoro katika familia ni mingi sana na ndiyo maana inapelekea kuongezeka kwa familiia za mzazi mmoja au watoto kuishi na wazazi wa kambo sasa...
kabisa hivyo mzazi pia anapaswwa kushiriki katika kumcoach mtoto na kuakikisha kuwa changamoto za kifamiia aziathiri saikolojia yake (anapaswa kuwa stree free)
unaweza kumlaumu kama hajatimiza wajibu wake kikamilifu lakini kabla ya kumlaumu jiulize kwanza wewe umetiza wajibu wako?
Kuna wakati mwingine watoto wanafeli kutokana na stress za nyumbani hilo nalo ni jukumu la mwalimu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.