Inategemeana na ulifanya kwenye taasisi ipi kama ji LGAs&MDAs huwa aibadililiki hta kama umefnya orral itabaki hivyo selected for oral.ila kama umfanya hzi taasisi za kujitegemea mfano bunge na nyingine hzi , baada ya oral kma ujafaulu huwa zinaonyesha kabisa not selected . Maana yake ujafaul...
Sema hizi taasisi za nusu majeshi , zinaarakati zake tofauti , unaweza kuta hata hawa takukuru watafanya kama uhamiaji.yaani baada ya written ni mafunzo uwezi jua.
Sidhani kama walifanya oral , ni written tu ndio walifanya kutoka katika vyazo vyangu vya taarifa.
Ila kama kuna watu wanajua ukweli watuambia . Ila za nchini chini , watu walipiga written tu alaf straight mafunzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.