Kweli tuna safari ndefu kuandaa taifa lakesho kwa huo umri wako wenzako wanajihusisha na biashara ndogondogo na nyeto wew unateseka na vitu visivyokua na mbele wala nyuma wew focus na yako
Dah tumekaa miezi 2 hamna maji mpk mkurugenzi wa idara ya maji katishiwa na watu kuandamana kwa sababu ya ujio wa raisi ndo akaachia maji mpk saiv najiuliza je asingekuja raisi maji yangeachiwa ? Wanasingizi wanajenga miradi ya mabomba cha ajabu miezi yote hiyo hman sehemu iliyochimbwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.