Natamani kujua kuhusu open university ni chuo bora kwa kusoma natamani nikasomee hapo maswala ya ICT?
Lakini pia natamani kujua kuhusu course ya ICT soko lake la kuweza kuajiriwa na kujiajiri lina upana kiasi gani?
Na mwisho natamani kujua kama mtu alikuwa anasoma degree then akaamuwa tu...
Samahan hivi kwa mfano kama ulikuwa unasoma bila mkopo ukashindwa kulipa ada then ukahitaj kufuta usajili chuo husika wakakwambia ulipe ada ya mwaka mzima wa masomo na umesoma semester moja ukashindwa kulipa je wakifanya overall utakuwa umedisco au inakuaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.