Ok,nimekuelewa ,kwa mujibu wako atakayekwambia hampend na akikaa kmya.......!kunaashria mamb meng,hvyo kwa mim naona ni bora wawe wanakaa kmya maana kweny ndio ni hapna,na kweny hapana n ndio!
Nahc hamna anayebsha kwamba demu uliyemuona mzur kuliko wote na wengne,bt ze matta wat mean when iktokea anatokozwa na kukwambia hua,amekbali au amekataa
EVELYN ze way ninavyoona ni kwamb katka post yako kuna ukwel fulani umeuweka lakin hutak kuwa waz,inaonesh kuwa hpa inawzkana kabsa ikawa unataftwa uhalal wa uchakachz
Habar wana jf,
Huwa najiuliza kila mara jibu huwa cpati,kwamba demu wako kila akitongozwa anakwambia huonesha kwamba anakupenda sana? au huwa tayari amekubali anaweka mazingra kwako endapo ukimwona na huyo jamaa ucwe na jambo lakuwaza sana,maana alikwambia alishamkatalia
,.....,..,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,.,..,.,,,,,,,,,,,,,,
Hapa patamu sana
My take :-
SISI SOTE NI NDUGU
LAKINI ADUI YETU
MKUBWA NI CCM.
Pamoja sana makamanda
pande zote ,MPAKA
KIELEWEKE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.