Recent content by Mr Kipara

  1. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Dodoma: CHADEMA yawasha moto Mkali, Bendera zapandishwa kila mahali Wabunge wa CCM wahudhuria kwa kificho

    Ccm wanasemaga Dom ni Ngome yao🤣🤣🤣🏃🏃🏃 yale Mafuriko sijui wanajisikiaje leo.
  2. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Je TISS imekuwa Kinyago Cha Mpapure au Imekuwa Compromised?

    Ilikuwa nikuhalalisha Wasiojulikana,baada yakuwa wamejulikana "Police" kwamba wao ndio Watekaji.
  3. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Je TISS imekuwa Kinyago Cha Mpapure au Imekuwa Compromised?

    Baada ya ile Sheria ya 2023 kwamba Tiss nao wanaiweza kukamata watu ndio Nchi iliingia Shimoni rasmi. Sasa hivi Tiss ni Tissue paper ya Watawala sio Idara nyeti ya Nchi kama ilivyokuwa zamani.
  4. Mr Kipara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali: Kwanini Wanawake wa Kipare wanajiona wao ndio wana Soko kubwa sana kwenye Mahusiano tofauti na Wanawake wa Kichagga?

    Wapare watamu halafu wana "Shape" MCHAGA umbo la Simba juu mnene chini Mwembambaaaaaaaa.
  5. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Ukiwa timamu huwezi kuishi na Mwendawazimu.
  6. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa arusha jiwe gizani: Kuanguka kwa dola ni pale MTAWALA anapozidi nguvu mamlaka za Katiba na sheria,. nepotism and the like

    Msigwa arudi tu asione aibu,huko ccm ni ushetani mtupu hapawezi.
  7. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Unajenga nyumba ya milion 300 ili upangishe laki 3, ni akili au matope?

    Umejenga leo kwa ml 20 baada ya miaka 5 unaiuza ml 80 bado sijatengeneza faida?
  8. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Gari imekwisha chochora 😂😂😂😂
  9. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Lissu aomba apelekwe Dodoma kusikiliza kesi yake dhidi ya AG, Kamishna wa Magereza

    Hakuna marefu yasiyo na Nchi, haki haijawahi kushindwa pia, ni swala la muda tu.
  10. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Kundecha: Wanaopinga Ripoti ya Tume ya Jaji Chande walihusika katika uchochezi

    Wanadhalilisha Waisilam na Uisilamu hapa Tanzania. Wenzetu wakitoka wanakuja kuzungumza vitu vya maana sisi ni Uchawa tu🚮.
  11. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe ameporomoka sana kisiasa. Hana ushawishi tena. Hata Kigoma walishamkataa

    Mshahara wa dhambi.....
  12. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe ameporomoka sana kisiasa. Hana ushawishi tena. Hata Kigoma walishamkataa

    Kuwa Dalali wa ccm ndiko kuliko mponza,ccm wenyewe wasenge kwani wakisha kutumia wanakutupa kama condom.
  13. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 UCHAMBUZI: Maswali 10 Muhimu Kuhusu Ripoti ya Tume ya Jaji Chande

    Nchi inazamishwa Shimoni na Wahuni Watanganyika tunaangalia tu.😭😭😭😭
  14. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Tume ya Jaji Chande "inavyopambana kuruka kiunzi cha kuaminika kwa umma" – Je, itaweza kujinasua?

    Kwanza ndio tunaanza kuzirudia zile video za tarehe 29.
Back
Top Bottom