Recent content by Mr Kipara

  1. Mr Kipara

    PostGE2025 Jaji Chande anatoa ONYO kama nani, asifikiri enzi hizi ni sawa na enzi zao

    Chande anadhani Watanganyika wa leo niwale wa mwaka 47?😂😂😂 Aende zake huko na litume lake la michongo.
  2. Mr Kipara

    Hakuna kibaraka, haramia au gaidi ataruhusiwa kuandamana popote pale Tanzania

    Majanga kama hayo sio ya kutupotezea muda kwa kuyajibu.
  3. Mr Kipara

    PostGE2025 Serikali ya Tanzania yajibu matamko EU, Marekani na mashirika ya kimataifa

    Who are you imefia wapi?🤣🤣🤣 Watatema ndio muda si mrefu.
  4. Mr Kipara

    PostGE2025 Ridhiwani Kikwete: Ikulu ya Tanzania ilikuwa madrassa zamani

    Kwanamna mlivyokaliwa kooni kuna hatari mtazungumza hata ya chumbani kwenu. Pumbavu kabisa ninyi, mnadhani mtatutoa kwenye reli?
  5. Mr Kipara

    PostGE2025 Mzee Butiku: Tukae tuzungumze bila fujo vijana watuamini

    Butiku ni dalali kama madalali wengine tu. 🚮🚮🚮🚮
  6. Mr Kipara

    PostGE2025 Rais Samia kulihutubia Taifa kupitia mkutano wa wazee wa Dar es Salaam kesho Desemba 2, 2025

    Tuongeze mara ngapi ili tueleweke? Tumekwisha vuka stage za kuhutubiwa, tunataka kusikilizana.Hutuba akawahutubie wanawe huko kzmkz.
  7. Mr Kipara

    Kwaheri ccm kwaheri Chama Cha Mapinduzi

    Ccm ilikwisha zikwa na Nyerere,wale pale ni genge la Wahuni tu waloamua kuitafuna Nchi tu kwa jina la ccm.
  8. Mr Kipara

    PostGE2025 Watinga Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga Tume iliyoteuliwa na Samia kufanya Uchunguzi wa ‘Matukio ya Uhalifu wakati wa Uchaguzi’

    Hata Lissu kazi anayoifanya pale Mahakamani sio kutafuta ushindi, bali kuiweka Mahakama Uchi wa Mnyama kila Mtu aone. Hata hawa wanajua kabisa hawatapata haki lkn muendelezo ndio uleule,kuiweka Mahakama Uchi.
Back
Top Bottom