Recent content by Mr Kipara

  1. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Tanzania ovyo. Wanashindwa kumtafuta Nchimbi na kufanya nae mahojiano au Kwenda kwake kujua kama Yupo?

    Nchimbi atakuwa under house arrest hata wamtafute kwa Tochi hawawezi kumpata.
  2. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wana Muharakisha Mtuhumiwa Kumaliza Ushahidi Bila kutoa Uamuzi wa Mashahidi Muhimu

    Lissu anajua wamekwisha andaa Hukumu ila anachojaribu kufanya ni kuiwwka record sawa, ili hata siku nyingine wasiseme hayakusemwa.
  3. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Mufti Mkuu Zubeir: Rais na Serikali wanatukanwa Masheikh mmenyamaza Kimya! Mmepataje hizo nafasi zenu?

    Bakwata ni Maccm toka kuundwa kwake.
  4. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Unajenga nyumba ya milion 300 ili upangishe laki 3, ni akili au matope?

    Halafu walivyo Wapumbavu wanakushauri ukiwa umekwisha jipata tu,ukiwa huna kitu huwaoni🚮🚮🚮🚮
  5. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Heche kaongea Ukweli shida yenu mmezoe kudanganywa na Watawala.
  6. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Huu upuuzi wao ndio maana Lissu anawaambiaga hawana akili.
  7. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio

    Acha wapelekewe Moto mana haya Mapolisi nimapumbavu sana.
  8. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Mbona ghafla matamko dhidi ya Heche yamekuwa mengi?

    Hata hili nalo litashindwa tu, Watz waleo sio wale wa 70s elimu ipo ya kutosha.
  9. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Kwa tuhuma za ufisadi na rushwa zinazomkabili John Heche, ni wazi amekosa credibility ya kukosoa wengine kwenye masuala ya uadilifu.

    Endeleeni kujidanganya, huku mkidhani Watz waleo niwale wa 70s.🤣🤣🤣🤣🤣
  10. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Ukimtoa Lissu, John Heche ndio mwanasiasa mwenye ushawishi Tanzania nzima

    Wala hujakosea. Hawa jamaa ndio sababu hata ya Chadema kung'aa kama unavyoiona.
  11. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Waliotoa amri +waliouwa ni swala la muda tu,watawajibishwa.
  12. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    Hata hivyo walichelewa kumfyeka.
  13. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Dodoma: CHADEMA yawasha moto Mkali, Bendera zapandishwa kila mahali Wabunge wa CCM wahudhuria kwa kificho

    Ccm wanasemaga Dom ni Ngome yao🤣🤣🤣🏃🏃🏃 yale Mafuriko sijui wanajisikiaje leo.
Back
Top Bottom