Recent content by Mr Kipara

  1. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Huu upuuzi wao ndio maana Lissu anawaambiaga hawana akili.
  2. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio

    Acha wapelekewe Moto mana haya Mapolisi nimapumbavu sana.
  3. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Mbona ghafla matamko dhidi ya Heche yamekuwa mengi?

    Hata hili nalo litashindwa tu, Watz waleo sio wale wa 70s elimu ipo ya kutosha.
  4. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Kwa tuhuma za ufisadi na rushwa zinazomkabili John Heche, ni wazi amekosa credibility ya kukosoa wengine kwenye masuala ya uadilifu.

    Endeleeni kujidanganya, huku mkidhani Watz waleo niwale wa 70s.🤣🤣🤣🤣🤣
  5. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Ukimtoa Lissu, John Heche ndio mwanasiasa mwenye ushawishi Tanzania nzima

    Wala hujakosea. Hawa jamaa ndio sababu hata ya Chadema kung'aa kama unavyoiona.
  6. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Waliotoa amri +waliouwa ni swala la muda tu,watawajibishwa.
  7. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    Hata hivyo walichelewa kumfyeka.
  8. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Dodoma: CHADEMA yawasha moto Mkali, Bendera zapandishwa kila mahali Wabunge wa CCM wahudhuria kwa kificho

    Ccm wanasemaga Dom ni Ngome yao🤣🤣🤣🏃🏃🏃 yale Mafuriko sijui wanajisikiaje leo.
  9. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Je TISS imekuwa Kinyago Cha Mpapure au Imekuwa Compromised?

    Ilikuwa nikuhalalisha Wasiojulikana,baada yakuwa wamejulikana "Police" kwamba wao ndio Watekaji.
  10. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Je TISS imekuwa Kinyago Cha Mpapure au Imekuwa Compromised?

    Baada ya ile Sheria ya 2023 kwamba Tiss nao wanaiweza kukamata watu ndio Nchi iliingia Shimoni rasmi. Sasa hivi Tiss ni Tissue paper ya Watawala sio Idara nyeti ya Nchi kama ilivyokuwa zamani.
  11. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Swali: Kwanini Wanawake wa Kipare wanajiona wao ndio wana Soko kubwa sana kwenye Mahusiano tofauti na Wanawake wa Kichagga?

    Wapare watamu halafu wana "Shape" MCHAGA umbo la Simba juu mnene chini Mwembambaaaaaaaa.
  12. Mr Kipara

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Ukiwa timamu huwezi kuishi na Mwendawazimu.
Back
Top Bottom