Jamani ndugu zangu nimefika mwisho sasa kama kuna anayejua wapi huwa wanatoa udhamini wa masomo naomba anisaidie. Mimi ni mwanachuo wa chuo cha waganga.
matokeo gani kwani wewe umefanya mtihani gani hadi upewe matokeo? Halafu wewe unaonekana hata medical field huifai kwa nini usiende hata kada nyingine bwana.
Kwani majina uliyotumia kutuma maombi ni yapi?
acha kuamini kwani kuna aliyekulazimisha uamini au unataka hadi mtu ascan walaka mbona mnauliza mkijibiwa mnajifanya majibu syo yenyewe au mlishazoea mnajibiwa fyongo eti?
Huyu amepanga awarushe roho official information ni hizi hata kuchagua bado zoezi linatarajiwa kuanza tarehe 27 sept hadi tarehe 4 oct na watakaochaguliwa kutangazwa tar 5-10/oct. Tulieni tu.
Jamani wana jf naomba kuuliza hivi mtu aliyemaliza kozi hyo ya clinical assistant anaweza kusoma degree ya medical administration au management? Maana nasikia kwamba sifa ni "any medical related course".
Naomba kusaidiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.