Bajeti inaonekana kubwa ukilinganisha na Benjamin mkapa stadium hii kutokan na kushuka kwa thaman ya fedha maan kam uwanja umejengwa kwa 60B na matengenezo tu yamegarim 30B ndipo utajua thaman ya fedha inashuka kila kukicha
Hivi kwann jina la uwanja usingeitwa MANGI MELI STADIUM jina la chief wa eneo hilo tukabak tunawaenz machifu katika eneo husika la uwanja kupunguza miradi mingi kuitwa majina ya raisi wakat machifu wa maeneo husika wakienda kusahaulika kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.