Recent content by Mr Electric

  1. Mr Electric

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Model: DEFENDER Fuel: DIESEL Transmition: MANUAL Colour: GREY Year: 2005 CC 2400 PRICE 23M LEATHER SEATS, SNOOKEL AIR CLEANER, HID LIGHTS, BRANDNEW TYRES WITH ORIGINAL ALLOY RIMS, WELL MAINTAINED AND CLEAN AS SEEN 0620320089
  2. Mr Electric

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Make Londrover Model Discovery Mwaka 1997 Cc. 2490 -------- Disel bado inakula Mafuta Vizuri Sana [emoji1303] bei ni Milion 9 Maongezi Yapo Loc kimara 0620320089
  3. Mr Electric

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    Camera ya S4 ni 13 au 32?
  4. Mr Electric

    Electric fence

    Pamoja sana Karibu.[emoji120] Nisaidie kushare na wenzako pia
  5. Mr Electric

    Electric fence

    Nafikiri utakuwa umejibika Boss
  6. Mr Electric

    Electric fence

    Haiui unapigwa tu short kubwa ambayo hutaweza kuendelea ku attempt chochote. Pia king'ora kitalia kuashiria kuwa kuna jambo limetokea. Mashine ina vitu viwili fence status na fence condition ambavyo kazi yake ni kukagua fence kama ipo katika hali gan. Ikihisi tofauti king'ora kitalia then ww...
  7. Mr Electric

    Electric fence

    ELECTRIC FENCE Hii ni fence ya umeme yenye kupiga shoti, pindi mtu yeyote atakapojaribu kukatiza fence kuingia au kutoka nje ya kampound kupitia either juu ya ukuta au mahali ilipofungwa fence. King'ora pia kitalia kwa sauti kubwa endapo mtu atajaribu kukatiza, kukata au atakapopigwa short na...
  8. Mr Electric

    Unazitukana hospitali za Magufuli halafu ukiumwa unakimbilia hapo hapo?

    Hakuna hospitali ya magu. Kodi zetu ndo anafanyia hayo mambo. Kama hayana kiwango lazima tuseme. Lazima tukosoe no matter itatusaidia au laah. Huwezi ona kitu hakiko sawa ukaa kimya eti kwasababu ipo siku utatibiwa hapo. Haiendagi hivyo. N
  9. Mr Electric

    Sababu ya nyumba kuungua kwa tatizo la Umeme na utatuzi wake

    SABABU YA NYUMBA KUUNGUA KWA TATIZO LA UMEME NA UTATUZI WAKE: Napenda kuwakaribisha katika majadiliano ya tatizo hili ambalo limekuwa likisababisha majanga makubwa sana hapa kwetu Tanzania kutokana na hasa kuongezeka kwa matumizi ya umeme.. Uchambuzi nitakao utoa hapa ni kwa majibu wa elimu...
  10. Mr Electric

    Nakushukuru BABA Askofu kwa majibu yako mazuri,lakini bado nina maswali.

    Biblia haisemi hivyo. Inasema kilichofungwa duniani na mbinguni kimefungwa na kitakachofunguliwa duniani na mbinguni pia kitafunguliwa.
Back
Top Bottom