Wanajamii kwanza natanguliza pongezi kwa huu uzi kwa jinsi ulivyonijenga kimawazo. Kwa sasa niko na hekari tano (5) za tikitimaji mbegu ni SUKARI F1 inatolewa na East Africa Seeds Company. Na kufikia mwisho wa mwezi huu wa August 2014 nitakuwa navuna. Mbegu hii hutoa matunda yenye wastani wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.