Recent content by Mr Ballo

  1. Mr Ballo

    PreGE2025 Mbunge Aesh Hilaly aahidi kutoa mabeseni 100 kwa kila Kituo cha Afya Sumbawanga Mjini

    Beseni hilo la buku jero unataka uite waandishi wa habari na pia unataka uongozi mzima ukusindikize kwenye kukabidhi? Eeeh... aisee hii siana hiii.
  2. Mr Ballo

    Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

    Hongera sana kwako... umefanikiwa kutushirikisha wazi ilipo Imani yako.
  3. Mr Ballo

    Nahitaji mwanaume wa kunioa

    Nimekuja na nime
  4. Mr Ballo

    Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

    Asante sana mkuu, umenipa ushauri mzuuri sana na ninashukuru sana kwa hilo. Binafsi nina changamoto sana ya kupata nafasi ya kudhuru mitaa yetu ili kutafuta mwenza kutokana na majukumu niliyonayo. Hata hivyo ntajitahidi kufata ushauri wako labda yawezekana ntafanikiwa kwa upande huo.
  5. Mr Ballo

    Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

    Kwa hali ilivyo kwa sasa haswa kwenye mitandao ya kijamii wamejazana sana wanawake wanaonadi sera za 'udangaji' na kutaka kuaminisha uma kuwa mwanamke yupo kwa ajili ya kulipwa fedha ili awe kwenye mahusiano na mwanaume anayetoa hizo fedha, na inakuwa hivyo kila wakati unapaswa kutoa fedha na...
  6. Mr Ballo

    Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

    Ni kweli, wanakausemi eti; "...nampenda sana mwanaume anaeyenijali.."
  7. Mr Ballo

    Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

    Habari zenu wanajamii, Natumaini mko salama. Nimeamua tena kuweka tangazo hili kwa lengo la kukutana na mwenza wa maisha mwenye nia thabiti na malengo ya dhati. Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi Dar es Salaam. Natafuta mwanamke Mkristo mwenye umri wa miaka 25 hadi 35, mwenye...
  8. Mr Ballo

    Natafuta mwenza (Mchaga) wa maisha. Ninaishi hapa Dar es Salaam

    Pole sana Shemeji, kwani Ilikuwaje mkuu, yaani dada yetu alikuwa jambazi kweli kabisa?
Back
Top Bottom