Inaweza kuwa 'YES' au 'NO'. Yes kwasababu hospital ya awali haikuwa na Dr wala vifaa vya kuweza kubaini tatizo kwa 100%(walikisia) kutokana na majibu ya vipimo vya damu. No kwa sbb ini linaweza kujipona lenyewe kwa matibabu au hata bila matibabu.
Mrejesho. Nilipost humu kuomba ushauri kuhusu hali yangu ya afya baada ya kuambiwa ini langu lina shida. OK ilibidi nirudi Amana na kuomba rufaa ya kwenda Muhimbili kuona na Dr bingwa wa ini. Baada ya kufika Muhimbili nilifanyiwa vipimo vyote muhimu vya awali vya utambuzi wa tatizo kwenye ini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.