Recent content by Mpozemenya Ntibakazi

  1. M

    Hili tangazo la Zantel lifanyiwe marekebisho, ni aibu kulisikiliza ukiwa na familia

    [Q=Clarity;13942185]Nimelisikia kwa kweli ni uchafu mtupu Eti jamani hata kama ndo biashara kweli namna hiyo?
  2. M

    Kwako Christopher Chiza, Waziri wa chakula na mgombea jimbo la buyungu ccm.

    Ungejitafakari kabla ya kugombea tena,wananchi wa kijiji cha kasuga hawana maji miaka yote mitano utaenda kuwaeleza nini
  3. M

    Hili tangazo la Zantel lifanyiwe marekebisho, ni aibu kulisikiliza ukiwa na familia

    Kwa wale ambao mmeshalisikia nadhani mtakubaliana nami kuwa halifuati maadili ya kitanzania.
  4. M

    Msaada: Ulipo Ubalozi wa Mexico Nchini Tanzania

    Hakuna ubarozi wa mexico Tanzania.
  5. M

    UKAWA, huu wimbo uliishia wapi?

    Waliuimba siku ya uzinduzi wa kampeni.
  6. M

    Kipindu pindu bado kipo tusikalie siasa.

    Watanzania tukishupalia jambo huwa tunasahau mengine,naona insu ya kipindupindu haipewi nafasi hata kwenye media.
Back
Top Bottom