Recent content by Mpogomi02

  1. M

    PreGE2025 Tundu Lissu: Bilioni 54 za kununua pikipiki "SSH 2025" zimetoka wapi?

    Tutusa kama wewe huwezi kumuelewa Lissu kwa sababu nawe ni mnufaika wa hizo pikipiki za bure. Umezoea vya bure hivyo huwezi kumwelewa.
  2. M

    Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

    Ina maana huko majeshini hakuna wanawake wenye mafunzo ya kumlinda rais hata hapo msikitini tu? Hii ni dharau kubwa kwa wanausalama wa kike
  3. M

    PreGE2025 Kumekucha: Mchungaji Msigwa amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Nyasa

    Ni jambo la kawaida mgombea kuwa na wasiwasi na msimamizi wa uchaguzi hasa kama anao ukaribu na mpinzani wake. Kunywa pombe pamoja ndio rushwa? Nadhani ameonesha tu kutoridhishwa kwake na huo ukaribu. Ni haki yake Msigwa kulalamika na chama kichukue hatua kuondoa hiyo sintofahamu ili mshindi...
  4. M

    CHADEMA kuchangisha michango kununua gari jipya la Lissu ni wizi

    Mbona unatapatapa sana. Nyie chawa endeleeni kumchangia mama yenu achukue fomu
  5. M

    CHADEMA kuchangisha michango kununua gari jipya la Lissu ni wizi

    Kimekuuma nini? Acha wenye moyo safi tumchangie ili hilo lake liwekwe makumbusho
  6. M

    Kwa Masaa 24 tu Mchango wa Gari mpya ya Tundu Lissu wazidi milioni 10

    Kwani umelazimishwa kuchangia? Acha wenye moyo safi tuchange ili hiyo iwekwe makumbusho wajukuu zetu wajue kuwa tuliwahi kuongozwa na madhalimu wauaji
  7. M

    PreGE2025 Chadema wameamua kujifunga goli wao wenyewe

    Wazanzibar wenyewe wanaiunga mkono cdm kwenye hoja ya serikali 3. Iwepo Tanganyika na serikali yake ili zanzibar nayo iwe na serikali yenye mamlaka
Back
Top Bottom