Nilikuwa kati ya watu wa kwanza kutaadharisha kwamba serikali ya awamu ya 5 haiendi mwelekeo sahihi. Hii ilikuwa ni baada ya kuona awamu hii inatoka kwenye agenda zilizowapa umaarufu kama:-
Kutumbua watumishi wazembe na wabadhirifu
Rais kufanya usafi mwenyewe mitaani
Kupiga marufuku virobba...
Inaonekana Kuna propaganda ilikuwa imepikwa kwa usitadi mkubwa kupigwa Kama Lissu angekufa.Tangu jana zimeanza kuonekana dalili ya kitu gani kingetokea.
Wanasahau kwamba jemedari ameokoka kwa mpango wa Mungu na wanasahau kwamba ameanza kutema cheche kule Nairobi. Hiyo ni miale tu, bado...
Kwa kuwa serikali ya Kenya imeonyesha nia njema kuanzia kumshafirisha Lissu na sasa wameimarisha ulinzi wake, sitashangaa kumuona Lissu anakuwa mkimbizi wa kwanza wa kisiasa (naamini sijaropoka)
Lissu hawezi kuwa yule yule, Lissu hawezi kuwa salama.Bado tunampenda na naamini atakuja kuiongoza...
Nimeona tweet za mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa nk wakipongeza maamzi hayo nikasema nikushauri uwatumbue.
Lipi jipya? Kama kufuta ni jambo la kupongeza hivyo mbona hatukuona tweet za kumpongeza Jecha aliyefuta uchaguzi wa Zanzibar? Uzalendo uko wapi?
Wanasema eti mahakama za Kenya...
Kuna mijadara inaendelea kwenye mitandao ya kijamii kwamba wakuu wawili wailaya, mmoja aliyepiga mzazi wa mtoto aliyevunja kioo cha gari na aliyaliyemsweka ndani mwalimu kwa kushindwa kutaja jina la DC watafukuzwa kazi.
Hivi mnadhani rais hajazisikia kelele hizi? Hivi mnadhani rais hakumuona...
Katika hali inayoonyesha wenzetu wanavyojua umuhimu wa kupiga mwanamke mmoja amejifungua akiwa mstarini akisubiri kupiga kura.
Mwanamke huyo Polina Chamanen'g alikimbizwa zahanati ya karibu kupewa huduma na akarejea name kichanga na kupiga kura baada ya kusisitiza lazima arudi kupiga kura yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.