Mapenzi ni hisia hakuna atakaye kupa jibu lakukutosheleza lakin inabidi ujichunguze mwenyew na ujue itakuumiza kiasi gan kama mtaachana na ukipat jibu amua kimya kimya mamb madogo hayo usifuate ushauri wa madomo zege watakuambia mpige chini kumbe mambo yanasolvika hayo.
Ukweli ni kwamba kwa umuhimu wa elimu hakuna shaka kusema ndio kiungo kikubwa kwenye maisha ya binadamu kwasababu hiyo ili jamii iwe ni jamii kamili na yenye usawa na lazima kuwaelimisha wanawake ambao wao ni kiunganishi kikubwa kwa zaidi ya asilimia sabini kwanini nasema hivyo
Kwa takwimu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.