Recent content by Mpendwa78

  1. M

    Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

    Kadhalika deni lolote likifika kiasi fulani, au chombo kilichokukpesha kikali'classify' kama bad debt, It is Ok to negotiate how much you are willing to service. Doing this does not mean dictating.Ni taratibu za kifedha tu!
  2. M

    Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa?

    Binafsi sijasoma article inayozunguzia suala zima la mikopo ya Bwana Mbowe. Lakini sioni kosa kwa mtanzania yeyote kukopa kutoka kwenye vyombo vyetu vya kifedha. Isitoshe hayo ndio maendeleo yenyewe. Hususan, watanzania watakapojua umuhimu wa kutumia rasilimali walizo nazo kama rehani dhidi ya...
Back
Top Bottom