NYONGEZA: Kama baadhi yao wamekuwa vinyeviti kwa muda mrefu hadi sasa je hakuna wanachama wengine wanaoweza kuchanguliwa kuwa wenyeviti? Yawezekana labda vyama hivyo havina "resource persons" wengi wenye sifa za kuwa nafasi za kugombea Urais au kuchaguliwa kuwa wenyeviti, ndiyo maana kila...
Hapo umesema vizuri. Ilani safi ikiwepo na akawepo msimamizi imara basi maendeleo yatapatiakana. Ilani ni mwongozo wa mambo yanayopaswa kufanywa na kusimamiwa na kiongozi aliyepewa dhamana. Siyo kiongozi kukurupuka na yake kila anapoamka. Ilani inatokana na tafiti iliyokusanya maoni ya wananchi...
Pofesa Muhongo, kimsingi ana hoja muhimu hapo. PAC na CAG vinapaswa kuwa makini. Mtafiti mara zote kabla ya kufanya utafiti anapaswa kuwa na mabunio lakini siyo taarifa halisi ya utafiti na pia kutolazimisha mabunio kuwa ukweli wa katika taarifa ya utafiti, anaweza kupotosha wasomaji...
Pofesa Muhongo, kimsingi ana hoja muhimu hapo. PAC na CAG vinapaswa kuwa makini. Mtafiti mara zote kabla ya kufanya utafiti anapaswa kuwa na mabunio lakini siyo taarifa halisi ya utafiti na pia kutolazimisha mabunio kuwa ukweli wa katika taarifa ya utafiti, anaweza kupotosha wasomaji...
Zitto Kamwe atabakia kuwa Kingozi imara na makini, hilo ni kosa kubwa sana kwa CHADEMA na itajutia maamuzi yaliyofanywa na tusubiri matokeo yake. Hapo hakuna ujanja maji yamemwagika kwenye mchanga tayari
Viongozi wa CHADEMA kuweni makini na maamuzi yenu. Kumwondoa mtu (Kiongozi) mdarakani ni moja ya dalili za kushindwa uongozi kwa ujumla wake. Chukueni hatua stahiki za kuzuia migogoro na kujenga uadilifu ndani ya chama na siyo kuweka mianya ya kujitokeza migogoro na kuchukua hatua za...
Viongozi wa CHADEMA kuweni makini na maamuzi yenu. Kumwondoa mtu (Kiongozi) mdarakani ni moja ya dalili za kushindwa uongozi kwa ujumla wake. Chukueni hatua stahiki za kuzuia migogoro na kujenga uadilifu ndani ya chama na siyo kuweka mianya ya kujitokeza migogoro na kuchukua hatua za kuwaondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.