Recent content by mpendakula

  1. M

    Hivi wanachofanya wabunge wa CHADEMA ni haki kweli!?

    Umenifurahisha sana Mr. Mark kwani umeuma kokote CCM - wapuuzi CDM - masela Hivi ndio vyama tunavyovitegemea viisimamie serikali kutuletea maendeleo. CCM na CDM oyeeeeee!!!????
  2. M

    Chadema wanamtambua rais: Jana, leo, kesho na keshokutwa

    Katika hili linalojadiliwa hapa mimi naungana na muanzisha mada CHADEMA itabidi igharimike kulitolea ufafanuzi. Sina ushahidi wa moja kwa moja wa kiongozi yeyote wa CHADEMA kwamba alitoa kauli ya kwamba hamtambui Rais, lakini uelewa wa walio wengi ni kwamba CHADEMA walitoka nje ya Bunge kwa...
  3. M

    Rev. Mtikila yu wapi jamani?

    Ndugu yangu umezungumza, mambo aliyaona karibu miaka 20 iliyopita wengine wanayaona leo, mtikila ni lulu
  4. M

    Tuseme Ukweli - Kikwete aliiba kura kwenye uchaguzi mkuu 2010

    Wakati hivyo vyama vingine vinaibiwa kura wao walikuwa wapi?
Back
Top Bottom