Salaam kwenu nyote Jf,
Kiufupi hii ni kero kutokana na shirika hili la umeme kukata kata umeme takribani ni mwezi huu kuanzia SAA 3 asubuhi hadi saa 12 jioni huku Makambako mkoani Njombe sijui huko kwenu wadau hali ikoje.
Asanteni
Habari za humu jamii forum naombeni msaada ya kuijua kiundani gari aina hii ya bighon seat capacity ukubwa wa engine bei yake yard kwa sasa inasifa gani kwa ujumla yaani positive na negative effects natanguliza shukurani zangu asanteni
Salama humu JamiiForums, nahitaji kujua sifa za hizi aina ya Toyota kluger bei na ulaji wa mafuta na seat zake yaani uwezo wa kubeba watu (seating capacity) natanguliza shukrani.
Asanteni
Anaehitaji smartphone tajwa hapo juu naiuza kwa bei ya 150000 tu haina tatizo lolote sababu ya kuuza ninamsomesha mdogo wangu wa primary sasa nahitaji niiuze ili iweze kumsaidia na ipo katika hali nzuri kabisa karibuni nipo makambako Njombe 0752048709 nichek whatsap
Si hilo tu ukikamilisha usajili mpya gharama ya kibao au plate yenye number wao hawahusiki wakidai wapo mawakala na ni kwa gharama yako ambayo ni 25000 hadi 20000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.