ACHA wahangaike maana lengo lao halikutimia,kwa sasa tumesema basi kutawaliwa na mabeberu,hivyo wanapoona mobaraka ya Mungu kwa Magufuli wanateseka sana
Yaani hata hamkufuata taratibu za kisheria mnataka kuandamana mnaakili.Kweli?? acheni akili za ajabu,mbona mmesoma na mnaakili timamu kabisa,inakuaje mnakosa kujiongoa ninyi na akili zenu,mnafikiri maisha ya hao wananchi mnaowashinikiza hatima ya maisha yao mnaijua??
Fanyeni jambo la...
HAKIka nami naungana na muandishi kua hakuna haja kabisa ya sisi watanzania kurubuniwa kuharibu amani ya nchi yetu,lakini pia bado tuna mengi ya kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.