Hivi kulwa ni kweli umeacha punyeto naomba unijibu na ulipigia punyeto miaka mingapi kiujumla na je ulikuwa unapiga mara ngapi kwa wiki na pia pindi unapomwingilia mwanamke pale mwanzo uume unasimamaje?plz nijibu then ushauri unafata
kwanini kwanza upake asali?je tatizo lako nini na kama unajua tatizo lako unajua mwanzo wa tatizo ama chazo cha tatizo ila kama ni punyeto unaitaji mda wa kulest kwani punyeto inavuluga mpango wote wa ubongo,unakuwa hujiamini hata ukiwa na mwanamke mara usikie kiu mara jasho mwilini Yaani tabu tupu.
Kwanza kwanini upige punyeto,si mchezo mzuri na ili kukuthibia mimi mwenyewe nilipiga sana punyeto wakati wa balehe yangu basi balaa mtindo mmoja kwanza ukiwa na demu kujiamini kunapungua na hata ukifanikiwa kutiana nae basi mwisho bao moja,ila hayo yote huwa yanawakuta wale waliopiga nyeto kwa...
Waacha nimsaidie kuhusu punyeto.
1.Naweza nikasema punyeto ina madhara ila pia haina madhara,!Ila nianze na yenye madhara,Punyeto yenye madhara ni ile ambayo kijana ataanza kupiga tangia enzi za balee yake mpaka anakuwa m2 mzima,hapo atapungukiwa nguvu za kiume,atakuwa anawai kukojoa yaani...
Sikiliza kijana hapa unapata ushauri 2 na jua sisi wengne si madartari,sasa mimi naomba nikuulize shwali je ushawai kuwa unapiga punyeto?maana punyeto huwa inasababisha kiuno kuuma kama umepiga kwa miaka mingi pamoja na kuumwa pumbu wakati wa haja kubwa yote nayo punyeto inachangia na kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.