Recent content by Mpelu

  1. M

    Ambao madeni yetu hayajabadilika hata baada ya kufutiwa VRF tujuane

    Ni wahuni sana kama wangetaka kusaidia wanufaika wangefuta vrf kabisa hawa watu wa loan board sio wazalendo kabisa furaha yao ni kuona wanufaika wakiteseka,charges ambazo ni vrf na penalty zilifutwa lakini wenyewe bado wanazitoza hii sio haki kabisa,na haya yanafanyika Mkurugenzi wa loan board...
  2. M

    Rais Kagame amekerwa na Arsenal kushindwa

    Arteta anatakiwa afukuzwe kaz
  3. M

    Ambao madeni yetu hayajabadilika hata baada ya kufutiwa VRF tujuane

    Hawa watu wa loan board ni wajanja sana vrf walikuwa nayo kwenye data base yao wala haikuwa kwenye salary slip sasa kwanin hawataki kuiondosha?at vrf before 1 may 2021 ,Pia nasikia wao walisomeshwa na bodi lakin bod haiwadai
  4. M

    Ambao madeni yetu hayajabadilika hata baada ya kufutiwa VRF tujuane

    Lakin kwanin bodi ya mikopo wanajikanganya?vrf iliwagusa wote hata ambao walimaliza chuo kabla ya 2016 sasa iweje baada ya Mh Raisi kuagiza ifutwe watu wa loan board wamebuni sheria zao kwamba vrf before 1 May 2021 sasa kwa nin wasiifute kama walivyoweka vrf hata ambao ilikuwa haiwahusu ?ukiulza...
  5. M

    Kuhusu Value Retention Fee(VRF) ya HESLB

    Unasema ukwel mnufaika atalipa kiasi kile kile?mbona wanufaika wengi wanalalamika kwamba vrf ya miaka ya nyuma haijafutwa?
  6. M

    Benki zitaanza kutoza riba chini ya asilimia 10 lini kufuatia agizo la Rais na Taarifa rasmi kutoka Benki Kuu ya Tanzania?

    Yes zamu hii lazima riba zipungue maana hizo ni hatua za kisera na lengo ni kuimarisha uchumi wa nchi uliokuwa umesinyaa
  7. M

    Benki zitaanza kutoza riba chini ya asilimia 10 lini kufuatia agizo la Rais na Taarifa rasmi kutoka Benki Kuu ya Tanzania?

    Nawashauri crdb na nmb waanze utekelezaji wa hilo jambo as soon as possible maana sasa hivi watu wanakopa kwa wingi hasa hasa watumishi waliopandishwa vyeo
  8. M

    Benki zitaanza kutoza riba chini ya asilimia 10 lini kufuatia agizo la Rais na Taarifa rasmi kutoka Benki Kuu ya Tanzania?

    Kushusha riba hakuitaj bajeti,hilo ni agizo la BOT na mabenk yote yanakopeshwa na BOT kwa riba ndogo hivyo wanatakiwa wapunguze kama walivyoelekezwa na BOT
  9. M

    Benki zitaanza kutoza riba chini ya asilimia 10 lini kufuatia agizo la Rais na Taarifa rasmi kutoka Benki Kuu ya Tanzania?

    Pia nashauri BOT wasikae maofsini waende Field kufatilia utekelezaj wa maelekezo yao
  10. M

    Benki zitaanza kutoza riba chini ya asilimia 10 lini kufuatia agizo la Rais na Taarifa rasmi kutoka Benki Kuu ya Tanzania?

    Naona bank kama crdb na nmb bado wanatoza riba za awali ambazo ni 17% sasa sijui wanakwama wapi? na maelekezo yameishapitishwa tangu tarehe 27 july 2021 ,gavana wa bot,na Waziri wa fedha waingilie kati hili jambo aisee bank zinaumiza sana riba zao sio rafiki kwa wateja
  11. M

    NMB mobile haina msaada kama umekwama

    NMB wameelekezwa na BOT wapunguze riba lakin bado wapo kimya,sasa hivi huduma za nmb zimekuwa kama crdb ni very expensive
  12. M

    Geita: Wanafunzi wakimbia ovyo wakiogopa chanjo, Kaimu Mkurugenzi ataka waelimishwe chanjo ni hiari

    Huyu mama Edith Mpinzile yuko vizuri sana anatakiwa awe DED au DC uongozi wake ni mzuri sana Mh Raisi Samia anatakiwa amuteue
  13. M

    Tumechoka na urasimu wa Bodi ya Mikopo (HESLB)

    Badru sio Profesa bana
  14. M

    Tumechoka na urasimu wa Bodi ya Mikopo (HESLB)

    Kwa hiyo ile provisional loan balance ya kwenye mtandao sio sahihi?
Back
Top Bottom