Watanzania kamwe hatutasahau uadirifu uliotukuka wa sokoine11 kwa Taifa lake na kwakuwa Chandra chema huvikwa Pete bash nasi hatuna budi kuvisha Pete hiki Chandra chema Mwigulu Nchemba mrithi sahihi wa JK
Mwigulu ni naibu Katibu mkuu wa Ccm bara kwamaana hiyo an a link na wana Ccm moja kwa moja na ndio maana kila iitwapo Leo wanamualika mikoani kufanya mikutano ya kisiasa ukiacha mikutano ambayo anajitolea yy binafsi kuifanya nchi nzima.Au unazungumzia mahusiano ya kutoa rushes kwa wanaccm?aaaah...
Mpaka sasa anafanya kazi kama waziri kamili ndio maana mh sada huwa hana wasiwasi hata asipokuwepo nchini anajua Mwigulu atamwakilisha vema sasa sijui unataka utendaji UPI zaidi ya huh wakuzuia mishahara hewa,kukamata wakwepa kodi,kupandisha pato LA Taifa kupitia makusanyo ya modi na mengine...
MWIGULU ni kijana muadirifu weredi wake hauna shaka na umetukuka kwa watanzania.Ni aina ya viongozi Nyerere alikua anawahitaji.Tanzania sasa imepata mtetezi .
Lete ushahidi sio kukurupuka Mwigulu ni field marshall wa kisiasa nyambizi wa kisiasa na ana mvuto wa kipekee kwa watanzania ndio maana tunataka awe Rais wetu 2015.hizo propaganda zenu hazitawasaidia hizi si mbio za sakafuni.mkuu.
Duh ni hivi majuzzi tu alikua mwanza na akapata nyomi yakutosha leo tena mwanza kapata nyomi ya ajabu.eeh Mungu endelea kufungua milango kwa mtanzania huyu mzalendo kipenz cha wengi.
soma vizuri mkuu mbona mimi nimesoma na nimeelewa ,suala sio kumuondoa suala ni kwamba Mwigulu hajawahi shiriki ubadhirifu wa aina yeyote ni ant-corruption and embazzlement of public fund ni kijana safiiiiiiiii,kiongozi muadirifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.