Kwa kweli niajabu sn kwa mwanasiasa mkongwe kama Magreth Sitta kufanya siasa za kinyesi kwa kiasi hiki yaani huyu mama badala ya kushawishi watu wa muunge mkono amekuwa anatumia nguvu nyingi kuwa kawanyanyasa watu wote wasio muunga mkono mfano mdogo hapa Urambo kuna saluni moja vijana wanaofanya...
Wanafanana na mfalme Belshaza,ambaye aliambiwa ujumbe kwa kupitia kiganja cha mkono kilichoandika ukutani mene mene tekeli na peresi yaani ufalme wako umepimwa na kisha umefika mwisho, haleluya Mungu wa Ibrahim shuka utukomboe watz kwa maana wakati uliokubalika ni sasa,watu wote wenye mapenzi...
Hapata kuwepo mtu yeyote atakaye simama mbele ya Lowassa cku zote za maisha yake, kama Mungu alivyokuwa pamoja na Mussa ndivyo atakavyokuwa pamoja naye!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.