Tatizo la kwanza kubwa la wanasiasa wa Tanzania ni kujaliwa unafiki uliopitiliza ,Rais alipokuwa jimboni kwako ulitamka mbele ya umati wa watu wa Kigoma kuwa "wananchi wa Kigoma wanataka maendeleo na wewe Mhe Rais unawaletea maendeleo" .Kwa macho yako mwenyewe umeona maendeleo na kwa kinywa...
Utaratibu wa maandamano unajulikana nchini, ili uandamane unahitaji kibali cha Polisi, pili Maandamano hayajawahi kufanyika baada ya saa 12 jioni, ndio maana hata mikutano ya vyama vya siasa mwisho wake ni saa 12 jioni. Kwa mujibu wa taarifa ni kuwa Freeman Mbowe aliwahamasisha wafuasi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.