Recent content by Mpalestina11

  1. Mpalestina11

    Wapalestina waanza kuondoka Rafah, patapigika haswa

    imagine IRAN kapigwa na Israel halafu katulia hajajibu ...halafu HAMAS still attacks ISRAEL HAMAS hayana huruma kwa Wapalestina, Hamas ni ANIMALS...... UNARUSHAJI MABOMU ISRAEL UKIWA UMEKAA NA WATU??? KWANINI mko blind kwenye UKWELI?? mbona hamsimamii ukweli????
  2. Mpalestina11

    Nadharia: Jinsi law of magnetics itakavyozuia ajali barabarani

    vipi kuhusu size ya hiyo sumaku itakuwa na ukubwa gani??....lakini pia sumaku inaweza hata kung'ang'ania piston za engine,,,,,labda kama itakuwa electro magnet ambayo itafanya kazi wakati wa ajali tu ambayo ni sekunde 2 au 1 kumbuka ajali ni kitu kinachotokea kwa sekunde 1 au 2 muda wa kuandaa...
  3. Mpalestina11

    Uingereza haina uwezo wa kupigana na Urusi hata kwa miezi 2

    UK ni wazuri zaidi ya Ukraine, wana silaha nzito zikiwemo za Nuclear ...... IT IS MORE SIMPLE TO DEFEAT UKRAINE than TO DEFEAT UNITED KINGDOM.... ukraine tunakwenda mwaka wa TATU
  4. Mpalestina11

    Seneti ya Marekani yapitisha msaada wa trilioni 152 Ukraine, Trilioni 35 Israel, Trilioni 22 Palestina, Trilioni 12 Taiwan

    tajiri ndiye anaye ongoza kudaiwa MADENI , tajiri anatumia mitaji ya watu kufanya biashara,
  5. Mpalestina11

    Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

    Actually deception ni kubwa duniani na watu hawajawahi kujua Allah na Yahweh ni Mungu tofauti kabisa the god of Saudi Arabia (Allah) Babylonian gods) imitate God of Israel, so Allah ni different from the God of Israel, mimi nasema Israel ishirikiane na wapalestina iwatoe Hamas madarakani kama...
  6. Mpalestina11

    Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

    vita inayo Isha nusu saa ni NUCLEAR WAR , huwezi ukawavamia wenyeji kwenye nchi yao wana silaha nzito wana intelligence nzito rahisi rahisi , halafu pia Ukraine umekuwa ikijiandaa na vita ya kurudisha Crimea toka 2014 kwa msaada wa NATO .......
  7. Mpalestina11

    China yavunja na kubomoa misikiti kwa ajili ya matumizi ya kiserikali

    Point of correction UKRISTO hauja anzishwa na wazungu (ULAYA) UKRISTO Umeanzishwa kule Israel na YESU , na Kisha ukaenezwa na WAZUNGU, Wakristo wa kwanza kabisa walikuwa waisrael sio wazungu.....UKRISTO haukuwahi kuwa Dini ila wazungu waliusambaza kama DINI to the world..........
  8. Mpalestina11

    Msipotoshe kuhusu Papa na ndoa za jinsia moja

    nafikiri umeona opposition kubwa duniani umeona kuwa hata MAASKOFU wame mkataa papa , tazama hata baadhi ya MAASKOFU WA nchi ya Poland wamekataa kubariki wanaume walio oana (couples) ... Utata wa swala la papa ni kwamba unaendelea kuwapa baraka watu ambao wataendelea kuungana kuwa mashoga ...
  9. Mpalestina11

    Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

    tatizo hamjui Siri za Ulimwengu, hekalu la Suleiman halikuwa hapo, mlidanganywa , hapo kwenye msikiti wa al Aqsa lilijengwa hekalu la mungu anaye itwa Jupiter (temple of Jupiter), na alama ya mungu anaye itwa jupiter ni mwezi, crescent [emoji287] moon, Kwa jinsi unavyo waona Wayahudi unadhani...
  10. Mpalestina11

    Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

    it is true but we can do it in glory of our God JESUS .... ile sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wa Jua Tammuz sisi tunaivunja na kufanya Kuwa Siku ya Kuzaliwa kwa Mkombozi Yesu..... biblia imesema lolote unalo lifanya basi lifanye kwa ajili ya UTUKUFU wa Mungu..... the most important thing for...
  11. Mpalestina11

    Askofu Gamanywa awashukuru Waumini kwa matoleo ya Sadaka ya Kuwasaidia Israel, asema itapelekwa Mji Mtakatifu!

    Yesu ameipenda Israel na wakamkataa hivyo hata waumini wa Yesu wanaambiwa waipende Israel kama alivyofanya Yesu hata kama hawa wataki, You can never change Christians stance on this....the bible is clear that you must always be with ISRAEL and worship God of ISRAEL ....kwa nafasi nyingi UKRISTO...
  12. Mpalestina11

    Wanajeshi wa Israeli wazingira hospitali yenye handaki ambalo ndio makao makuu ya HAMAS

    Dunia isimame na Palestina , pale ambapo tutakubaliana kuwa HAMAS ni magaidi na hayana huruma kwa WAPALESTINA yanakaaje chini ya hospitali? HAWA jamaa ni waoga sana wanajificha chini ya HOSPITAL?? HAMAS HAIKUBALIKI....Pia nimeona watu wanataka kukimbilia mahali salama wao wanawazuia wasitoke ...
  13. Mpalestina11

    Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

    HAMAS hawana upendo kwa Wapalestina , HAMAS ndio mkandamizaji wakwanza wa uhuru wa Palestina......unajidanganya kumuomba mungu gani ambaye atakusaidia kuishambulia Israel??? Halafu watu wanapigwa umejificha chini ya mahandaki ....kwanini Hamas wasikae front line ili wachapwe wao wenyewe ...
  14. Mpalestina11

    Sababu zinazofanya Waislam Gaza wasikate tamaa

    watu wanataka kuondoka ila Hamas wanazuia , HAMAS ni kundi dhaifu kwanini wao wanajificha kwenye mahandaki wanaacha raia juu...... HAMAS ni kundi la kuondolewa hapa Palestina , ni kundi dhaifu, kama Hamas wana mungu wanamtegemea basi mungu wao ni dhaifu sana, anashindwa kujipigania wanaacha raia...
  15. Mpalestina11

    Mapicha: Majengo ya Gaza yamebaki magofu, yaani ghost town, jamani HAMAS waliwaza nini

    HAMAS hawana faida wanaleta HASARA tu wanasababisha watu wateseke ....tuna support vipi HAMAS?? HAMAS is a disgrace to PALESTINE....human shield is not acceptable in WAR
Back
Top Bottom