Zile maxhine bhana zinauzwa kati ya laki 3-5, pia kuwa makini pindi ununuapo, kwani waweza uziwa mbovu.Isitoshe hao wanachuo ulishawataarifu kuwa unampango wa kuwapelekea mashine za kufulia nguo?,pia wanapenda nguo zao zifuliwe kwa njia ya mashine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.