Recent content by Mozeal

  1. Mozeal

    Maswali ya usahili Tume ya Madini

    Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa maswali ya written exam wa Tume ya Madini kitengo cha Technician II (ELECTRICAL) anisadie maana interview za utumishi inasemekana unaweza kuulizwa vitu hata ambavyo havihusiani na fani yako.
  2. Mozeal

    DOKEZO Wafanyakazi 50+ tumeondolewa katika ajira ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) kwa uonevu, Mamlaka za juu zitusaidie

    Wewe ulikua unafanya kazi katika Airport ipi?.. Hapa Dar es salam au mkoa mwingine..? Na mkataba wako ni zile za Temporary Employment Opportunity....?. Lakini pia TAA walifanyisha usaili wa hizo kazi za mkataba mwezi Wa 2 na watu waliofaulu usaili wameshachagulia na wataripoti kazini mwezi wa...
Back
Top Bottom