Habari zenu naombeni kama kunamtu ana namba ya simu ya chuo cha tumaini darsalaam TUDARCO hapo ofisini kwao anipatie tafadhali ya simu ya mkononi na si yamezani nitashukuru sana.
Habari zenu hao TCU hawajafungua hiyo third round kama walivyokua wanasema?naombeni majibu coz hata hao wengine wanapata shida kuona vyuo walivyochaguliwa sijui hii nchi ikoje watu hadi wanavunjika moyo wakusoma naombeni jibu wana JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.