Recent content by mournyrutta

  1. M

    HESLB: Orodha ya Majina ya Waliopata Mkopo (Awamu ya Kwanza) 2016/17

    Habari zenu naombeni msaada jinsi ya kuangalia kama nimepata mkopo unaangaliaje?
  2. M

    TCU: Mfumo wa Udahili wa pamoja(CAS) umefunguliwa kwa Awamu ya Tatu

    Sasa kwa walivyoaandika inamaana amabao hawajaaapply hata round moja hawawezi kuaapply ? Na hili jambo haliwahusu nisaidieni
  3. M

    TCU: Mfumo wa Udahili wa pamoja(CAS) umefunguliwa kwa Awamu ya Tatu

    Kwahiyo wale ambao hawajawahi kuaappply hata mara moja inakuaje?kuhusu wao
  4. M

    Nataka kujuzwa kuhusu SAUT Arusha

    Hahaha jamani nimecheka sana
  5. M

    Msaada tafadhali

    Jamani wanajamii naombeni mnisaidie kulingana na icho nilichouliza
  6. M

    Msaada tafadhali

    Mbura mbona hamjibu jamani
  7. M

    Msaada tafadhali

    Habari zenu naombeni kama kunamtu ana namba ya simu ya chuo cha tumaini darsalaam TUDARCO hapo ofisini kwao anipatie tafadhali ya simu ya mkononi na si yamezani nitashukuru sana.
  8. M

    Naomba kufahamu

    Coz mimi pia ndo navyojua
  9. M

    Naomba kufahamu

    Nijibu basi we uliyesema jamani coz hiyo nahisi ni mpya
  10. M

    Naomba kufahamu

    Kwani waweza kuaapply direct chuoni?
  11. M

    Naomba kufahamu

    Habari zenu hao TCU hawajafungua hiyo third round kama walivyokua wanasema?naombeni majibu coz hata hao wengine wanapata shida kuona vyuo walivyochaguliwa sijui hii nchi ikoje watu hadi wanavunjika moyo wakusoma naombeni jibu wana JF
  12. M

    Kwa wale wanao penda kubadili faculty Nacte sasa wamesha fungua

    Kuaapply kwa certificate na diploma tu?au hadi wale wa diploma kwenda degree
  13. M

    Taarifa ya faraja kwa diploma holder wenye jpa 3.0

    Na unauhakika na hizo taarifa ndugu? na ninafikiri alimaanisha GPA na si jpa mkuu ujisahishe hapo
  14. M

    Diploma Holders Selection ni Tarehe 5 October

    Ni wanaingia certificate na wanaotoka certificate kwenda diploma
Back
Top Bottom