Thx, pia hospital amejaribu kwenda tena sehemu mbalimbal na madaktar wote aliojarbu kuwaona wanamwambia ni tatzo la hormone imbalance hvyo atumie dawa za majira miez mitatu, alijarbu kufanya hvyo na kwel alpata siku zake mwez mmoja tu baada ya hapo hakuna tena, ngoja tuendelee kuwaona madaktar...
Thx Globu, hsp amekwenda sana na kote alikokwenda aliambia ni homon hazijabalance hvyo atumie dawa za majira kwa miez mitatu na akafanya hvyo,ni kwel alvomaliza alipata siku zake mwez mmoja tu tangu hapo hakuna tena.
Anaejua dawa ya tatzo hli,kukoma kwa hedhi. Dada yangu ana mwaka wa pili sasa haijui hedhi,ilikata tu yenyewe, hajazaa wala hajawah kutumia uzaz wa mpango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.