Recent content by MountFX

  1. MountFX

    Naweza kupata mafao ya NSSF nikiwa na namba bila kadi

    shukran ndugu nitafanya ivyo mkuu
  2. MountFX

    Naweza kupata mafao ya NSSF nikiwa na namba bila kadi

    samahani sana wana jf nilikua nahitaji msaada wenu kidigo kwa yoyote anaye jua, Nimekua nikijiuliza sana kuhusu swala la NSSF. mimi nilikua mfanya kaza katika company furani hapa dar es salaam na nimetumikia hapo kwa miaka miwili mwaka wa kwanza sikuingizwa katika system ya nssf lakini...
Back
Top Bottom