Recent content by moudgulf

  1. moudgulf

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Kama hao wazungu wapo ndani ya mipaka na wale waliopokea na kuzifanyia kazi pesa hizo. Acha tuone
  2. moudgulf

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Huyo Emma ndiyo nani na amehusika vipi na janga la Oct 29 ?
  3. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Chuando tan ana miaka 60 lakini ana muonekano wa kijana kabisa

    Hela pia inaongeza uzee. Kuna dogo hapa ni 30+ ana muonekano wa kizee maana anagonga pombe kali, sigala mademu siyo kitoto na kifedha yuko vema.
  4. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Mwanamume akamatwa baada ya kuvaa kama 'Grim Reaper' (Malaika wa Mauti) na kusimama juu ya paa la hospitali na kuwakodolea macho wagonjwa

    Huyo jamaa angekuwa mwafrika mngeongea mengi yanayo tuchelewesha. Ni kwakuwa kila kinacho fanywa na mzungu mnaita 'Ubunifu'.
  5. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Box mmekuja nalo, box wamebebea mbuzi katoliki kutoka mkoani😂 Maji machafu yaliyopo eneo la Mwenge yamesababishwa na ujenzi barabara za mwendokasi zinazoendelea kujengwa mahali hapo. Barabara ya Sam Nojuma imefumuliwa inajengwa njia 6 zikiwemo mbili za mwendo kasi na Bagamoyo road inajengwa njia...
  6. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Aseee maisha ya kuigiza yana changamoto nyingi sana🙄🙄🙄🙄
  7. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Alidhani ndoa ni rahisi sana. Atatoa asali bila ndoa mpaka ataitafuta ndoa na mahari atalipa yeye mwenyewe. Hatupendagi dharau.🙂
  8. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Hao unaowaona wanashangaa shangaa box wameleta ndizi na magimbi kutoka Kiwira. Wenye mji wao hawapo hapo.
  9. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    .🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu The Icebreaker njoo unaitwa 😂😂
  10. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Una utani na mkuu Scars na wenzake!😂😂
  11. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Njooni Dar mlipasue maana nyinyi ni jasiri sana
  12. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Ndiyo maana kuna wengine hapo wamesimama ki machale, kuna hisia inakuambia labda kuna kitu cha thamani ndani ya box, lakini nafsi pia inawaza huenda watu wenye nia mbaya wametegesha vilipuzi. Rai wana kiu kuona kuna nini
  13. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Hata wewe ungekuwa eneo hilo ungejilaumu bro Maana namna linavyoonekana hakuna raia atathubutu kulifungua aone kilchomo Ndiyo maana kila mmoja ana kiu kujua kuna nini
  14. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Rachel Dangwa,
  15. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Haijaisha mpaka iishe
Back
Top Bottom