Recent content by moudgulf

  1. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Watanzania wa upande wa bara wanaotembelea visiwani wanahisi kubaguliwa na ndugu zao wa Zanzibar kwa kuwa huitwa chogo.(watu wenye mabichwa makubwa🤣) Wazanzibari hawana mabichwa🤣 kama hayo🤣. Hili huenda ni utani wa kawaida kama watanzania kwa ujumla wanavyotaniana kutokana makabila yao au maeneo...
  2. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Kwa upande wa Tanganyika malalamiko yao hasa wanajiona hawana uhuru mkubwa wakiwa visiwani Zanzibar.
  3. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Wazanzibari wanalaumu muundo huu wa Muungano unaifaidisha zaidi Tanganyika. Wanasema Tanganyika imejificha kwenye serikali ya Muungano. Wanasema kile kinachosemwa mambo muungano ki wizara ni manne ili hali serikali yote pamoja na wizara na taasisi zilizo chini yake ni za Muungano.
  4. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Wazanzibari wanasema Muungano wa haki ungekuwa wa serikali tatu ili kila upande usimamie mambo yake na kisha serikali kuu "Central Government" isimamie mambo makubwa
  5. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Wazanzibari wanasema Muungano umepora na kuimeza Zanzibar na hivyo kufuta historia ya visiwa hivyo
  6. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Baadhi ya wazanzibari wanasema kwamba Muungano huu umeingiwa kwa pupa na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar baada ya mapinduzi bila kuwashirikisha wananchi wa pande zote
  7. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Pamoja na kutimiza miaka hiyo bado wananchi wa pande zote mbili wana malalamiko kutokana na aina ya muungano na ubaguzi kila upande
  8. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Tanganyika na Zanzibar zilikubaliana kuunda Muungano wa serikali moja ili kuimarisha undugu wa kihistoria baina ya nchi mbili hizo.
  9. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Muungano wa nchi za Tanganyika na Zanzibar leo tarehe 26, 04, 2024 unatimiza miaka 60
  10. moudgulf

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Miaka 60 ya Muungano
Back
Top Bottom