Box mmekuja nalo, box wamebebea mbuzi katoliki kutoka mkoani😂
Maji machafu yaliyopo eneo la Mwenge yamesababishwa na ujenzi barabara za mwendokasi zinazoendelea kujengwa mahali hapo.
Barabara ya Sam Nojuma imefumuliwa inajengwa njia 6 zikiwemo mbili za mwendo kasi na Bagamoyo road inajengwa njia...
Ndiyo maana kuna wengine hapo wamesimama ki machale, kuna hisia inakuambia labda kuna kitu cha thamani ndani ya box, lakini nafsi pia inawaza huenda watu wenye nia mbaya wametegesha vilipuzi.
Rai wana kiu kuona kuna nini
Hata wewe ungekuwa eneo hilo ungejilaumu bro
Maana namna linavyoonekana hakuna raia atathubutu kulifungua aone kilchomo
Ndiyo maana kila mmoja ana kiu kujua kuna nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.