Tatizo kubwa la watanzania ni ubinafsi, hilo ndilo linalo punguza tija mahali pa kazi.
Hata hivyo mtoa mada una wajibu wa kutaja taasisi unayo fanyia kazi na majia ya hao mabosi
Unakuta boda ana Kiduku, ana kitshirt amevaa kandambili akitimua mbio ile kandambili moja ni kama inataka kuchomoka, amefungulia singeli sauti kubwaaa..🙄🙄
Serikali iwaangalie kwa jicho kali hawa madogo.
Nchi imejaa janja janja kila sehemu.
Michezo ya kubahatisha imekuwa gulio la wageni kuzoa mapato ya wazawa, na bodi ya michezo hiyo ni genge la wala rushwa.
Mwaka uliopita serikali kupitia kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na biashara Selemani Jafo ilitoa waraka wa kupiga marufuku kwa machinga wa kigeni, madalali, mamalishe, babalishe waendesha biashara za "kamari dubwi" na wengine wa aina hiyo.
Cha kushangaza hata baada ya katazo hilo bado tunaona...
Kuosha maiti kwa dini ya kiislam ni moja ya nguzo 4 za lazima anazofanyiwa Marehemu.
Na hasa kama maiti huyo hakufia vitani au ajali mbaya kama vile moto, kufa maji nk.
Hairuhusiwi maiti ya mwislam kuzikwa na mapambo na vitu vingine mwilini mwake.
Hivyo kitendo cha KUOSHA ni pamoja na...
Huyu jamaa na baba yake waliwahi kusema kuwa Kenya ni sehemu ya Uganga.
Hhivyo walikuwa na mpango kukomboa maeneo yao ya kijografia ili waipate bandari za Mombasa na Lamu..
Nadhani project hiyo ni muhimu kwao kuliko kujaribu kucheza na Persian.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.