Mkuu Mkandara nimefurahi kukuona tena.
Huwa napenda namna unavyojenga hoja na uwasilishaji wako.
Kwa maslahi ya jamiiforums Vijana wajifunze kutoka kwa GT kama wewe, namna ya uwasilishaji usiotweza utu wa mtu.
Umeongea ukweli mtupu.
Ukisoma habari ina mashimo mengi.
Habari hii ina ukweli na mengine yamefichwa, ni kwakuwa Mkapa hayupo tena kujitetea, hivyo tunalazimishwa tuamini kile alichosema bila kusikia upande wa pili.
Mathalani jijini Dar es salaam na hasa eneo la mji lenye mzunguko mkubwa wa pesa ni Kariakoo.
Kariakoo Flem za biashara za juu kuanzia ghorofa ya kwanza ni ngumu sana kibiashara.
Flame za maeneo hayo zinakata mtaji, wateja hawapendi kupanda panda ngazi.
Mitaa michache sana yenye wateja wenye...
Maelezo yako yanaonyesha umeenda shule lakini vitendo vyako havionyeshi maarifa uliyopata huko shuleni.
Elimu ya ukimwi imetolewa sana, lakini kuna watu bado haijawafikia au wamepuuzia🙄🙄
Nimechukizwa na maelezo yako😬😬maana hayana msaada kwa jamii
Uamuzi wa kuuza wachezaji furani kwenye dirisha dogo ili kuimarisha timu ulikuwa sahihi, lakini kama umemuelewa Magori anasema timu huwa inetenga bajeti bada msimu kumalizila.
Timu haina bajeti katikati ya msimu.
Hakuna tatizo hapo mkuu
Sasa mji kama huo hata ukisubiri taa zikuongoze una uhakika kuwahi.
Fikiria kutoka Mbozi road uwahi wateja kariakoo njiani kuna maroli yanashusha makontena kwenye bandari kavu zilizojengwa holela.
Kwakweli tutakimbizana tu.
Kuhusu bajaji, bodaboda, toyo na guta tumekosea kuruhusu vingie mjini.
Na kelele za wauza sumu za wadudua na wakusanya taka vyote siwezi kutetea.
Hata ule uchafu wa mbao za machinga siwezi kuwaunga mkono.
Lakini naunga mkono jiji lenye harakati nyingi za kiuchumi
Ndiyo maana magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanatushambulia mno.
Watu wetu ni malimbukeni sana wa vyombo vya moto.
Utakuta mtu anatoka Magomeni mapipa anaenda mwembechai anataka apande kipando
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.