Recent content by moudgulf

  1. moudgulf

    Je ni lazima Ukiipenda Yanga uichukie Simba ?

    Siyo lazima tufanane. Kila baya liwakute wanayanga 🤪🤪
  2. moudgulf

    Baada Iran kubondwa ameamua kupigana vita ya propaganda na kisaikologia haiwezekani uteke wanajeshi 173 Kwa mkupuo ni wajinga TU wataamini

    Jamaa ana uchungu mkubwa mno na jeshi la Marekani mpaka ameamua kuandika uzi🤣🤣
  3. moudgulf

    Baada Iran kubondwa ameamua kupigana vita ya propaganda na kisaikologia haiwezekani uteke wanajeshi 173 Kwa mkupuo ni wajinga TU wataamini

    Umeongea kwa hisia na hasira. Kwahiyo wewe ndiye msemaji wa jeshi la Marekani? Waache Marekani wenyewe wajitetee.
  4. moudgulf

    Sababu zinazofanya watumishi wahame kutoka kituo kimoja kwenda kingine

    Tatizo kubwa la watanzania ni ubinafsi, hilo ndilo linalo punguza tija mahali pa kazi. Hata hivyo mtoa mada una wajibu wa kutaja taasisi unayo fanyia kazi na majia ya hao mabosi
  5. moudgulf

    Djigui Diarra afungiwa mechi Tatu na faini ya Tsh. Milioni 4

    Adhabu ndogo, sisi Mtibwa tutakata rufaa. Tulitarajia afungiwe mechi 10 au angalau mechi 8
  6. moudgulf

    Pikipiki zenye Kelele na Taa kali zakamatwa Arusha

    Unakuta boda ana Kiduku, ana kitshirt amevaa kandambili akitimua mbio ile kandambili moja ni kama inataka kuchomoka, amefungulia singeli sauti kubwaaa..🙄🙄 Serikali iwaangalie kwa jicho kali hawa madogo.
  7. moudgulf

    Ruvuma: Raia wa kigeni akutwa na mashine bandia 60 za dubu

    Nchi imejaa janja janja kila sehemu. Michezo ya kubahatisha imekuwa gulio la wageni kuzoa mapato ya wazawa, na bodi ya michezo hiyo ni genge la wala rushwa.
  8. moudgulf

    Ruvuma: Raia wa kigeni akutwa na mashine bandia 60 za dubu

    Vipi kuhusu Casino kubwa kama vile Le Grand Casino, Princess Casino, Sea Cliff Casino, Macau nk wanatenda haki kwa gumbler wao?
  9. moudgulf

    Ruvuma: Raia wa kigeni akutwa na mashine bandia 60 za dubu

    Kutokana na andiko lako hapo juu yaonyesha wewe ni mdau kwenye eneo hilo. Sisi kama nchi tunakwama wapi kudhibiti ubadhirifu huo?
  10. moudgulf

    Ruvuma: Raia wa kigeni akutwa na mashine bandia 60 za dubu

    Mwaka uliopita serikali kupitia kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na biashara Selemani Jafo ilitoa waraka wa kupiga marufuku kwa machinga wa kigeni, madalali, mamalishe, babalishe waendesha biashara za "kamari dubwi" na wengine wa aina hiyo. Cha kushangaza hata baada ya katazo hilo bado tunaona...
  11. moudgulf

    Ruvuma: Raia wa kigeni akutwa na mashine bandia 60 za dubu

    Aisee huyo mchina wamshughulikie vilivyo. Anaenda kuwafundisha kamari wakulima, pumbavu sana.
  12. moudgulf

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Kama Nigeria na Ghana hazipo nafasi za mbele taarifa itakuwa ya uongo.
  13. moudgulf

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Kuosha maiti kwa dini ya kiislam ni moja ya nguzo 4 za lazima anazofanyiwa Marehemu. Na hasa kama maiti huyo hakufia vitani au ajali mbaya kama vile moto, kufa maji nk. Hairuhusiwi maiti ya mwislam kuzikwa na mapambo na vitu vingine mwilini mwake. Hivyo kitendo cha KUOSHA ni pamoja na...
  14. moudgulf

    Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Huyu jamaa na baba yake waliwahi kusema kuwa Kenya ni sehemu ya Uganga. Hhivyo walikuwa na mpango kukomboa maeneo yao ya kijografia ili waipate bandari za Mombasa na Lamu.. Nadhani project hiyo ni muhimu kwao kuliko kujaribu kucheza na Persian.
Back
Top Bottom