Recent content by moudgulf

  1. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya FiraunI

    Mkuu Mkandara nimefurahi kukuona tena. Huwa napenda namna unavyojenga hoja na uwasilishaji wako. Kwa maslahi ya jamiiforums Vijana wajifunze kutoka kwa GT kama wewe, namna ya uwasilishaji usiotweza utu wa mtu.
  2. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Sababu za Jenerali Ulimwengu kuzinguana na Mkapa hadi kunyang'anywa uraia

    Umeongea ukweli mtupu. Ukisoma habari ina mashimo mengi. Habari hii ina ukweli na mengine yamefichwa, ni kwakuwa Mkapa hayupo tena kujitetea, hivyo tunalazimishwa tuamini kile alichosema bila kusikia upande wa pili.
  3. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Generali Ulimwengu kinatosha

    Niliwahi kusikia neno hilo mkoani Kilimanjaro. Wakazi wa Kishimundu wamekariri hilo kutokana na viashiria wanavyojua wao.
  4. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Generali Ulimwengu kinatosha

    Kwamba Nyerere alikuwa anaingilia mambo ya rais!!?🙄🙄
  5. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Sisi MAN U tunashukuru Mungu kwa kupunguza sauti uku mtaani

    Angalau wao wana kitu mkononi. Wamekosa moja lakini wafunga msimu na kitu mkononi.
  6. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Liverpool wamfukuza Arne Slot

    Wamefanya vema
  7. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Kwa mliopo katikati ya miji na viunga vyake sana sana DAR, MORO na DODOMA kwa mbali fanyeni aka kautafiti mtaona

    Mathalani jijini Dar es salaam na hasa eneo la mji lenye mzunguko mkubwa wa pesa ni Kariakoo. Kariakoo Flem za biashara za juu kuanzia ghorofa ya kwanza ni ngumu sana kibiashara. Flame za maeneo hayo zinakata mtaji, wateja hawapendi kupanda panda ngazi. Mitaa michache sana yenye wateja wenye...
  8. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Mbappe popote ulipo ona hiyo,
  9. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Hongereni mashabiki wa PSG kwa Ubingwa huu. Hongereni Arsenal kwa kufika hatua ya fainali. Maana imepita miaka 20 sasa tokea muyafikie mafanikio hayo.
  10. moudgulf

    JamiiForums Tanzania UKIMWI Upo: Siamini na mimi umenipata

    Maelezo yako yanaonyesha umeenda shule lakini vitendo vyako havionyeshi maarifa uliyopata huko shuleni. Elimu ya ukimwi imetolewa sana, lakini kuna watu bado haijawafikia au wamepuuzia🙄🙄 Nimechukizwa na maelezo yako😬😬maana hayana msaada kwa jamii
  11. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Mahojiano ya mwenyekiti wa bodi ya simba yabainisha hali ilivyo Simba

    Uamuzi wa kuuza wachezaji furani kwenye dirisha dogo ili kuimarisha timu ulikuwa sahihi, lakini kama umemuelewa Magori anasema timu huwa inetenga bajeti bada msimu kumalizila. Timu haina bajeti katikati ya msimu. Hakuna tatizo hapo mkuu
  12. moudgulf

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Mwaka huu tutaanza kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta (Oil Refinery)

    Hii ina maana kuwa timu ya ushawishi (negotiations team) ya Tanzania imeshindwa vita ya kuleta refinery hii hapa kwetu
  13. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Sasa mji kama huo hata ukisubiri taa zikuongoze una uhakika kuwahi. Fikiria kutoka Mbozi road uwahi wateja kariakoo njiani kuna maroli yanashusha makontena kwenye bandari kavu zilizojengwa holela. Kwakweli tutakimbizana tu.
  14. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Kuhusu bajaji, bodaboda, toyo na guta tumekosea kuruhusu vingie mjini. Na kelele za wauza sumu za wadudua na wakusanya taka vyote siwezi kutetea. Hata ule uchafu wa mbao za machinga siwezi kuwaunga mkono. Lakini naunga mkono jiji lenye harakati nyingi za kiuchumi
  15. moudgulf

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Ndiyo maana magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanatushambulia mno. Watu wetu ni malimbukeni sana wa vyombo vya moto. Utakuta mtu anatoka Magomeni mapipa anaenda mwembechai anataka apande kipando
Back
Top Bottom