Recent content by MOTD

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mradi wa kukodisha tractors - maeneo gani yanalipa?

    Asante kaka, Nikiwa tayari ntakutafuta
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mradi wa kukodisha tractors - maeneo gani yanalipa?

    Wakuu nawashukuru saana... nilikua nategemea kutumia Trekta zangu mbili (MF165 na nyingine MF 290 zote 2wd), naendelea kupokea na kuchanganua michango yenu Nawashukuru!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mradi wa kukodisha tractors - maeneo gani yanalipa?

    Wakuu salaam! Naomba kwa wenye ufahamu wanisaidie yafuatayo: 1. Ni maeneo gani yanalipa ukipeleka trekta la kukodi? 2. Ni kiasi gani kwa heka moja? 3. Na ni HP ngapi zinaweza kufanya kazi (2wd or 4wd) 4. Chochote unachoweza kuchangia Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom