Wakuu nawashukuru saana... nilikua nategemea kutumia Trekta zangu mbili (MF165 na nyingine MF 290 zote 2wd), naendelea kupokea na kuchanganua michango yenu
Nawashukuru!
Wakuu salaam!
Naomba kwa wenye ufahamu wanisaidie yafuatayo:
1. Ni maeneo gani yanalipa ukipeleka trekta la kukodi?
2. Ni kiasi gani kwa heka moja?
3. Na ni HP ngapi zinaweza kufanya kazi (2wd or 4wd)
4. Chochote unachoweza kuchangia
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.